Huu mwaka tuliwaambia Wakenya

is pangani three levelπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hujaacha upuuzi bado
Najua kusoma ndio shida kwako. please read the marked red part.Ungesoma hungeonyesha huu ujinga wako.
 
Wakenya hamuwezi choka kubrag..
Mtoto wa Tanzania and further Sana hio barabara yenu, Wa Kenya ashachoka na barabara aliyoipata Yani ni kawaida kwake, ameizoea, anaiona kila siku na anaitumia.

Mtafika tu ila kwa sasa ligi yenu Burundi.
 
Let`s just go slowly, I want gto put some sense into your head. Hapo kwa mambo ya three level tushamalizana sindio?
Hakuna level yeyote hapo...naona kikwapa tu na huo mtaro. Hamna tofauti na hii..is this two level?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…