Huu mwaka tuliwaambia Wakenya

haitakuja kuja kutokea kua three level labda neno three level iwe imepoteza maana mark my words πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kilishatokea tayariπŸ˜‚πŸ˜‚. In fact Kilitokea more than ten years ago.





Pangani Interchange (Nairobi) | bridge, highway interchange / exit

Kenya / Nairobi / Nairobi

bridge, highway interchange / exit




This comprises of a three-level road interchange comprising of an overpass from pangani towards Forest road, and a tunnel from Thika road, crossing over to surface again on Muranga road, and branching midway to surface also on Forest road. Service lanes are on ground level serving multi-directional roads.


Wikipedia article: http://en.wikipedia.org/wiki/Pangani_Interchange
Nearby cities:
Coordinates:
1Β°16'0"S 36Β°50'3"E
Add your comment in english

 
jipe matumaini lakini ukweli uko pale pale tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Three level interchange on highway vector image on VectorStock
 
and then is wikipediaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ ambayo hata mm naeza badilisha sasa hvi nikaandika even four level interchange
 
Hivi ni lazima tujilinganishe na Kenya? Kwanini tusijilinganishe na Dubai, Seoul, Washington DC nk?
Ukitaka kukua, tembea na wakubwa.
Ukiwajua wakenya upuuzi wao utajua kwanini tuna pambana nao japo ni ujinga kujilinganisha na walala dampo za slum kama wakenya ,mkenya ni sawa sawa na jirani mchawi lazima upambane naye yapo yeye si chochote kwako
 
Who told you BRT is necessary in Nairobi. We are going the rail way.
Kwahiyo flyover zenu zinazingatia rail way !? Ukweli ni kuwa hazizingatii brt wala tram system
 
Nyie mumejenga fly over moja sasa sisi Wakenya hatuwezi pumua?
Subiri huu mwaka haujaisha bado, sindano za moto zinakuja hadi wenyewe mtakili
 
We have our plans and as I told you, we don't eagerly need BRT.
Pale kauli ya sizi taki mbichi hizi ilitimia bada ya sungura kuruk n kushindwa kugkia "only biiiiaraaaatiiii"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlizani nimandazi yale kama izo tofali flyover
 
Pale kauli ya sizi taki mbichi hizi ilitimia bada ya sungura kuruk n kushindwa kugkia "only biiiiaraaaatiiii"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlizani nimandazi yale kama izo tofali flyover
Sasa mbona walichora chora barabara ovyo kwa kuandika BRT only [emoji23]

Mwingine huwa anaokota okota picha halafu anadai eti wanajenga barabara za BRT [emoji23]

Leo mbona sizitaki mbichi hizi [emoji23]
 
Sasa mbona walichora chora barabara ovyo kwa kuandika BRT only [emoji23]

Mwingine huwa anaokota okota picha halafu anadai eti wanajenga barabara za BRT [emoji23]

Leo mbona sizitaki mbichi hizi [emoji23]
Nairobi imepita level ya BRT , we are focusing on a light rail system kaka..
 
Sasa mbona walichora chora barabara ovyo kwa kuandika BRT only [emoji23]

Mwingine huwa anaokota okota picha halafu anadai eti wanajenga barabara za BRT [emoji23]

Leo mbona sizitaki mbichi hizi [emoji23]
Hawa huwa wakiona hawana kitu na kipo Tz wavurugwa sasa kwa bati mbaya namba ya vitu ambavy hawana viongezeka kila uchwao hapo ndipo utawaona how desparete they are[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
 
Which plan ? Kwahiyo flyover zenu zinazingatia mfumo wa train za mijini?
The problem with you is that you think with your mouth. I have told you that we don`t need BRT. Simple and clear, or what don`t you understand there?
 
Hawa huwa wakiona hawana kitu na kipo Tz wavurugwa sasa kwa bati mbaya namba ya vitu ambavy hawana viongezeka kila uchwao hapo ndipo utawaona how desparete they are[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
We are desperate, nani ameanza hii thread?
In Kenya there are over 40 inter-changes/ and many fly-overs built in the last 10 years,
sasa inter-change yenu ya kwanza mnaanza thread.... anzeni kujilinganisha na Uganda na Rwanda... hicho ndicho kiwango chenu..

Flyovers na inter-changes are so common in Kenya, nobody bothers with them any more...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…