Huu 'mzuka' mpya wa Ukraine unasababisha Mrusi apoteze battalion moja kila siku

Huu 'mzuka' mpya wa Ukraine unasababisha Mrusi apoteze battalion moja kila siku

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Kwa siku chache ambapo Ukraine wametiririka kama waliopagawa, wamefaulu kuteka vifaru 1,200 vya Urusi, hiyo ni pamoja na zana zingine ikiwemo magari ya kivita. Warusi wanatoka nduki na kuviacha huku Ukraine wakiendelea kufukuzia.

Vijana wa Ukraine wameamua kujitoa mhanga, wanavamia kwa kifua mbele kama ambao wamewehuka vile.

=================

The Russian army is losing at least a battalion’s worth of vehicles and men a day as twin Ukrainian counteroffensives roll back Russian territorial gains in eastern and southern Ukraine. That’s hundreds of casualties and scores of vehicle write-offs every day.

These losses are catastrophic for Russia. The Russian army barely was sustaining a little over 100 under-strength battalions in Ukraine before Kyiv’s forces counterattacked in the south on Aug. 30 and in the east eight days later.

In just under two weeks of brutal fighting, the Ukrainians have destroyed, badly damaged or captured 1,200 Russian tanks, fighting vehicles, trucks, helicopters, warplanes and drones, according to the Ukrainian general staff. Independent analysts scouring social media for photos and videos have confirmed nearly 400 of the Russian losses.

Around 5,500 Russian troops have died in Ukraine since Aug. 29, according to Ukrainian officials. It’s possible the Ukrainians are overstating the death toll, but it’s worth noting that recent U.S. estimates of Russian losses have been only slightly lower than Ukrainian estimates.

To put these numbers into perspective, Russian losses in Ukraine have swelled by a tenth in around 10 days—in a war that’s 200 days old. The rate of Russian casualties and vehicle write-offs doubled then tripled as the Ukrainians launched their counterattacks.


Loaded: 8.70%
 
Lengo la Putin ilikua kuwapa Ukraine,amerika and pro Americans fupa ambalo hawawez kulimeza au kulitema kama alivyofanya kwa Syria.sasa hv mjadala wa Ukraine kujiunga NATO haupo kabisa zimebaki sarakasi na propaganda za pro Americans. Nipo nanjilinji huku nimevaa kobazi ndo naenda vibandani kupata gongo kidogo.
 
Kinachowafanya warusi watoke nduki na kuacha madubwashi yao nyuma ni baada ya waukreni kutumia vionjo mbalimbali va silaha toka nchi za magharibi na Marekani.

20220912_071054.jpg
20220912_071104.jpg
 
Russia akili nyuma miguvu mbele.

Kwa silaha hizi Russia ameshindwaje kuiteka Ukraine ndani ya siku tatu?

Mara HIMARS zinapiga madaraja tu, michumachuma.

Ukraine kapiga madaraja, radar, maghala baada ya hapo ni kuwaswaga tu Russian
Ukraine wanasaidiwa na Israel virtually . Mrusi atapata tabu sana. Israel awataki ata siku moja mmoja wao adharirike! Rais wa Ukraine ni Muisrael na Babu yake alikuwa mmoja wa wahanga wa concentration camps.
 
Kwa siku chache ambapo Ukraine wametiririka kama waliopagawa, wamefaulu kuteka vifaru 1,200 vya Urusi, hiyo ni pamoja na zana zingine ikiwemo magari ya kivita. Warusi wanatoka nduki na kuviacha huku Ukraine wakiendelea kufukuzia.

Vijana wa Ukraine wameamua kujitoa mhanga, wanavamia kwa kifua mbele kama ambao wamewehuka vile.

=================

The Russian army is losing at least a battalion’s worth of vehicles and men a day as twin Ukrainian counteroffensives roll back Russian territorial gains in eastern and southern Ukraine. That’s hundreds of casualties and scores of vehicle write-offs every day.

These losses are catastrophic for Russia. The Russian army barely was sustaining a little over 100 under-strength battalions in Ukraine before Kyiv’s forces counterattacked in the south on Aug. 30 and in the east eight days later.

In just under two weeks of brutal fighting, the Ukrainians have destroyed, badly damaged or captured 1,200 Russian tanks, fighting vehicles, trucks, helicopters, warplanes and drones, according to the Ukrainian general staff. Independent analysts scouring social media for photos and videos have confirmed nearly 400 of the Russian losses.

Around 5,500 Russian troops have died in Ukraine since Aug. 29, according to Ukrainian officials. It’s possible the Ukrainians are overstating the death toll, but it’s worth noting that recent U.S. estimates of Russian losses have been only slightly lower than Ukrainian estimates.

To put these numbers into perspective, Russian losses in Ukraine have swelled by a tenth in around 10 days—in a war that’s 200 days old. The rate of Russian casualties and vehicle write-offs doubled then tripled as the Ukrainians launched their counterattacks.


Loaded: 8.70%
[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji91]
Screenshot_20220912-103445.jpg
 
Kwa siku chache ambapo Ukraine wametiririka kama waliopagawa, wamefaulu kuteka vifaru 1,200 vya Urusi, hiyo ni pamoja na zana zingine ikiwemo magari ya kivita. Warusi wanatoka nduki na kuviacha huku Ukraine wakiendelea kufukuzia.

Vijana wa Ukraine wameamua kujitoa mhanga, wanavamia kwa kifua mbele kama ambao wamewehuka vile.

=================

The Russian army is losing at least a battalion’s worth of vehicles and men a day as twin Ukrainian counteroffensives roll back Russian territorial gains in eastern and southern Ukraine. That’s hundreds of casualties and scores of vehicle write-offs every day.

These losses are catastrophic for Russia. The Russian army barely was sustaining a little over 100 under-strength battalions in Ukraine before Kyiv’s forces counterattacked in the south on Aug. 30 and in the east eight days later.

In just under two weeks of brutal fighting, the Ukrainians have destroyed, badly damaged or captured 1,200 Russian tanks, fighting vehicles, trucks, helicopters, warplanes and drones, according to the Ukrainian general staff. Independent analysts scouring social media for photos and videos have confirmed nearly 400 of the Russian losses.

Around 5,500 Russian troops have died in Ukraine since Aug. 29, according to Ukrainian officials. It’s possible the Ukrainians are overstating the death toll, but it’s worth noting that recent U.S. estimates of Russian losses have been only slightly lower than Ukrainian estimates.

To put these numbers into perspective, Russian losses in Ukraine have swelled by a tenth in around 10 days—in a war that’s 200 days old. The rate of Russian casualties and vehicle write-offs doubled then tripled as the Ukrainians launched their counterattacks.


Loaded: 8.70%
Sema tu kinacho tokea Ukraen,ni Kama yetu ya vita ya kagera watu walijitoelea mbuzi,ngo'mbe,kondoo n,k na ndo uzalendo ,kwa Sasa msifia Rais ndo uzalendo ,hatufiki popote nasema
.
 
Russia!!!! Russia!!! Mnalemba sana Yani putin dogo zele anakusumbua hivyo, kumbe RUSSIA anachspika
 
Back
Top Bottom