Huu ndio msimamo rasmi wa Mbowe dhidi ya Sabaya na washirika wake.

Huu ndio msimamo rasmi wa Mbowe dhidi ya Sabaya na washirika wake.

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Hii ni kauli aliyoitoa Mbowe zaidi ya mwaka mmoja uliopita dhidi ya Sabaya na washirika wake. Mbowe aliitoa kauli hii kwa ujasiri mkubwa na hadharani wakati huo Sabaya akiwa mkuu wa wilaya ya Hai chini ya utawala wa Rais Magufuli.

"....Siko tayari kumjadili Sabaya, mtoto mpotevu, mhuni, mtu mjinga, aliyetumwa na wajinga kuja kufanya mambo ya kijinga, mimi ninajikita kujadili mambo yenye maslahi mapana kwa nchi yetu...."

VIDEO hii hapa chini.
 

Attachments

  • VID-20211019-WA0031.mp4
    2.1 MB
Bahati mbaya amenasa Sabaya peke yake. Lakini ukweli wateule wa awamu ya 5 hasa wengi toka uvccm walikuwa vichaa .

Wengine eti leo ni watu wema !!
 
Back
Top Bottom