Huu Ndio Muafaka wa Simba SC Baada ya Mazungumzo na Sadio Ntibanzokiza Kufeli

Bora imeshindikana.
Huyo ni Morrison mwingine kitabia, angetuongezea migogoro kuliko kujenga timu
Na wewe umeamini hii riwaya? Hakuna kitu kama hicho unless na wewe ni mtopolo kama huyo mleta stori
 
Uliona wapi timu inayojielewa ikanunua mchezaji iliyemuuza kwa hela kubwa..? Tumia akili wewe. Angalia kwa lukaku nk.?
 
Uliona wapi timu inayojielewa ikanunua mchezaji iliyemuuza kwa hela kubwa..? Tumia akili wewe. Angalia kwa lukaku nk.?
Kwa Clotus Chama mlipewa bure? Akili za mashabiki wa simba bhana! Halafu mimi sijasema mnataka kumnunua! Maana hamna hizo fedha.

Mlimtaka kwa mkopo! Ila kwa bahati mbaya Kaizer Chiefs wameweka mzigo mezani. Hivyo uwezekano wa kumpata haupo!
 
Kwa Clotus Chama mlipewa bure? Akili za mashabiki wa simba bhana! Halafu mimi sijasema mnataka kumnunua! Maana hamna hizo fedha.

Mlimtaka kwa mkopo! Ila kwa bahati mbaya Kaizer Chiefs wameweka mzigo mezani. Hivyo uwezekano wa kumpata haupo!
Sawa tumemchukua lakn kwa chama vei yake aliyouzwa haifiki ya luis. Bei ya luis ilikua kubwa mzee hivyo wanao muuza watataka faida umeona hapo. Parefu na mchezaji anazeeka hivyo lazima hesabu zipigwe vzr kubalance na kuuokoa uchumi
 
Mwamedi mbahili sana.
Bora Simba tuandamane timu apewe Bakhresa
 
Aibu yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…