Huu ndio muda Mashabiki wa Simba kufanya Dua/Sala zao za Mwisho

mlambaji asali

Senior Member
Joined
Jan 30, 2023
Posts
150
Reaction score
505
Imekuwa ni kawaida kwa wanadamu kufanya Dua/Sala zao za mwisho pale mauti yanapowakaribia. Hivyo Kwa mwana Simba yeyote aliyepo mahali popote muda ndio hivyo unayoyoma hebu mgeukieni Mola wenu kwa Dua/Sala zenu za mwisho kwani mauti yenu yapo karibu sana.

Mtapigwa Hadi mpoteane nawaambia.
Tukutane saa 3 usiku kwa maombolezo
 
Tutawapiga hao waarabu hadi waanze kusema fauda, fauda!
 
Simba imetanguliza uchawi mbele, wik nzima uwanja ulikuwa unapigwa ndumba tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…