Huu ndio muda Mashabiki wa Simba kufanya Dua/Sala zao za Mwisho

Huu ndio muda Mashabiki wa Simba kufanya Dua/Sala zao za Mwisho

mlambaji asali

Senior Member
Joined
Jan 30, 2023
Posts
150
Reaction score
505
Imekuwa ni kawaida kwa wanadamu kufanya Dua/Sala zao za mwisho pale mauti yanapowakaribia. Hivyo Kwa mwana Simba yeyote aliyepo mahali popote muda ndio hivyo unayoyoma hebu mgeukieni Mola wenu kwa Dua/Sala zenu za mwisho kwani mauti yenu yapo karibu sana.

Mtapigwa Hadi mpoteane nawaambia.
Tukutane saa 3 usiku kwa maombolezo
 
Tutawapiga hao waarabu hadi waanze kusema fauda, fauda!
 
Simba imetanguliza uchawi mbele, wik nzima uwanja ulikuwa unapigwa ndumba tu.
 
Back
Top Bottom