Huu ndio muonekano wa David Banda (Mtoto wa Mwanamuziki Madona)

Sasa hawezi kuwa chaboli hapo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anaweza Kuna shoga kigamboni bonge la center half Ila akishikwa tako anakenua
 
Wote wanabahatisha wewe ndo mwenye majibu.
Thibitisha mkuu.!!
Mie sina uthibitisho wowote, vyovyote unavyotaka kuamini wee pita na hiyo tyuuh.

Relaaaaaaax. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hv kwa macho yako kabisa hujaona kama hizi nguo ziko tofauti??
Angalia kifuani na angalia na shingoni
 
Hv kwa macho yako kabisa hujaona kama hizi nguo ziko tofauti??
Angalia kifuani na angalia na shingoni
Kama umesoma maelezo ya mwandishi, hii ni nguo kama ya mama yake 16 years back. Mshono, na nembo alizotumia mama yake way back. Siyo nguo ile ile bali mshono ule ule na vikorombwezo vyote.
 
Mara nyingi nimekuwa niliona picha za African race ndio mashoga, white people sio sana, tukienda wale wa Asian races ndio waxhache kabisa na n Kama sina uhakika nimewahi kuona picha ya Shoga wa kichina, kijapan, nk.
Hawa wazungu wanaharibu sana sisi black
 
ayaaa sisi tuliona Madona ana huruma kumbe kaenda kutuaribia kijana wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…