Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,957
Tatizo ni JF ndugu yangu. Ukiweka uzi wenye kufundisha mambo ya MUNGU wanautupa kule kwenye jukwaa la DINI ambako hakuna wachangiaji.Sasa kwanini hamuweki nyuzi za kuelimisha wadau?haya mambo ni vizuri kuelimishana,Mkuu nilishakuomba ulete Uzi kuhusu swali Fulani la kidini nililokuuliza PM,ukaahidi utaleta,mwaka umeisha sasa
Na hiyo ndiyo sababu inayonifanya nishindwe kuuweka ule uzi wa "UFUNUO".