daveposta
Member
- Feb 19, 2011
- 52
- 8
Hama kwa hakika watz 2meshindwa kuwa wachunguzi wa mambo, hv unazani serikali inashindwa kutoa AJIRA au wanataka Walimu waajiriwe kwnye sekta nyingine ili idadi ndogo ya walimu wakiajiriwa na serikali namaanisha lengo lisipofikiwa kwa kuwa na waalimu wachache ili watumie kigezo cha kuombea kula 2015