Nimeona Twitter & Instagram.
Kama ni kweli mbona walalahoi ama wale wanyonge kama Hayati Magufuli alivyokuwa anawaita wamepata utetezi mubashara.
Kuna watu wanamtakia huyu Mama yetu Rais Samia mafanikio mema sana kwenye utawala wake.
Wanyonge sasa nao kudemka hahahahahaha!
Nenda insta na Twitter tafuta: ovctanzania
Na kwa jinsi watz walivyo kuna watakaokuja kusema ni mimi huyo najipigia promo akaunti zangu za mtandaoni. Dah...!
Kama ni kweli mbona walalahoi ama wale wanyonge kama Hayati Magufuli alivyokuwa anawaita wamepata utetezi mubashara.
Kuna watu wanamtakia huyu Mama yetu Rais Samia mafanikio mema sana kwenye utawala wake.
Wanyonge sasa nao kudemka hahahahahaha!
Nenda insta na Twitter tafuta: ovctanzania
Na kwa jinsi watz walivyo kuna watakaokuja kusema ni mimi huyo najipigia promo akaunti zangu za mtandaoni. Dah...!