Huu Ndio Mwonekano mpya wa Msanii RAY C Akionyesha Mapaja yake...!!

Sasa apo kiuno kipo kweli sasa iv??,au ndo ma hips ya tumbo
 
Sasa apo muonekano mpya ndo uko wapi?? Huyo si ray c wa siku zote?? Dah watu wengine bhan,mi nilijua kanyoa para kama amber rose
 
Si nilisikia anapiga watu hovyo...........amesha recover ?......eti alimkuta Nora studio akamdunda.....na kama hajapona kuna siku ataenda huko studio akutane na baunsa kama Stara Thomas.....au Isha Mashauzi.......adundwe yeye...
 
Anataka kuolewa nahana mtoto wakati amesahau kizazi katupia mmbwaa?
Aya maisha duh ?
Achayaende tu?
 
Kawa kama TV ya zamani tupa kule mbali
yaani watu mbwembwe mingi mara kaenda
Japan na Jumbe mara sijui nini ama kweli
ngoma ikilia sana haikawii kupasuka!
 
Nilimuona juzi kwenye mkasi TV shavu dodo..kajiunga na kitengo au? lol...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…