Huu ndio Mzigo wangu wa Movie

Huu ndio Mzigo wangu wa Movie

Nimetoka kucheki Interrogation muda si mrefu uko vizuri sana...!
 
Wapendwa habari ya mapumziko ya Ijumaa Kuu.

Napenda kuwashirikisha mzigo wa Movies za ukweli nilizo nazo ili ukipata muda hasa kipindi hiki cha mapumziko marefu uzitazame(sema ndio hivyo bando ziko juu)
Hizi ziko kwenye simu yangu hivyo nazitazama popote pale.(uwezo wa simu..internal Gb 256 na memory card Gb 256)

BAADHI ya Movies hizo ni.
1. 7 days in Entebbe.
2. 12 years of slave.
3. 21 Bridges.
4. Addicted.
5. American sniper.
6. Atomic blonde.
7. Bangkook dangerous.
8. Blood and Bones.
9. Colombiana.
10. Django unchained.
11. Enemy at the gate.
12. Fifty shades ...zote.
13. Godfather....zote.
14. Godfather of Harlem..series full.
15. Hacksaw Ridge.
16. Home of the brave.
17. Bravo to zero.
18. Ipman ...zote.
19. Mission impossible...zote.
20. Expendables...zote.
21. Jason bourne...zote.
22. Taken ...zote.
23. Shooters movie and series full.
23. RED..zote.
24. Rules of engagement.
25. Lone survivor.
26. John wick ...zote.
27. Salt.
28. 24 hours.
29. 13hours Benghazi.
30. Hitman bodyguard.
31. Leon the professional.
32. Second in command.
33. War dogs.
34....

Oohh...list ni ndefu Sana..hangaikeni na hizo kwanza.

Je umetazama au unaikubali ipi.?

Karibuni.
Nimeona atlist 75% ya muvie zako pendwa
 
Aiseee naangalia Lawless hapa warusi wanachinjana live live mazee...!
 
Nimekusoma Mkuu

Aisee nimeumaliza huo mzigo hapa nipo na mtu mmoja hatari sana Jason Statham mzigo unaitwa SAFE...!

Nakuongezea library kiongozi hutajutia hiyo mizigo mkuu...!
 
Aisee nimeumaliza huo mzigo hapa nipo na mtu mmoja hatari sana Jason Statham mzigo unaitwa SAFE...!

Nakuongezea library kiongozi hutajutia hiyo mizigo mkuu...!
Hiyo ninayo..hata kwenye orodha yangu hapo ipo..ukimaliza hiyo mtazame kwenye hizi.
1. Mechanics zote.
2. Killer Elite.
Halafu uje uniambie.
 
Hiyo ninayo..hata kwenye orodha yangu hapo ipo..ukimaliza hiyo mtazame kwenye hizi.
1. Mechanics zote.
2. Killer Elite.
Halafu uje uniambie.

Mechanic nnayo moja kwenye mashine nitaicheki kesho mzee baba, zipo ngapi hizi...?

Huwa napenda kuangalia kwa mtiririko kuanzia movie ya kwanza kutoka mpaka ya mwisho ili kupata story kamili au hazihusiani...?
 
Mechanic nnayo moja kwenye mashine nitaicheki kesho mzee baba, zipo ngapi hizi...?

Huwa napenda kuangalia kwa mtiririko kuanzia movie ya kwanza kutoka mpaka ya mwisho ili kupata story kamili au hazihusiani...?
Za huyo mwamba ziko mbili..the mechanic ya 2011 na the mechanic resurrection ya 2016.
 
Za huyo mwamba ziko mbili..the mechanic ya 2011 na the mechanic resurrection ya 2016.

Aiseeee nipo na The Mechanic ya 2011 ndio kwanza nimeianza aisee, huyu jamaa ni mtu hatari sana mzee baba...!

Noma sana aiseeee...!
 
Back
Top Bottom