Huu ndio Mzigo wangu wa Movie

Aiseee mzigo mkali sana nimeuelewa kiongozi jamaa anajua sana...!

Ya nani hiyo Rampage kiongozi...?
Sijamfahamu vizuri..sio hawa maarufu tuliowazoe
 
Ngoja nianze weekend na mzigo wa Pappilon
 
Namkubali sana mzee wetu wa taken Ila kwenye hii movie waliondika story wamezingua movie sio Kali kusema ukweli, badala ya hiyo tafuta Nobody
Kweli aisee nilifanikwa kuicheki niliona imepoa sana
 
Namkubali sana mzee wetu wa taken Ila kwenye hii movie waliondika story wamezingua movie sio Kali kusema ukweli, badala ya hiyo tafuta Nobody

Mkuu nimechungulia trailer ya hiyo movie ni hatari sana aisee, unatumia site gani kuishusha au ku-stream live online niicheki mkuu...?

Thanks In advance aisee.
 
Mkuu nimechungulia trailer ya hiyo movie ni hatari sana aisee, unatumia site gani kuishusha au ku-stream live online niicheki mkuu...?

Thanks In advance aisee.
Me nadownload Kwa simu na pc, kama nitatumia simu basi natumia application moja inaitwa "flud" na kama nikitumia pc natumia application inaitwa "vuze" hizo zina download Kwa kutumia link, so link ya movie natoa YTS. Ni hivo mkuu
 
Me nadownload Kwa simu na pc, kama nitatumia simu basi natumia application moja inaitwa "flud" na kama nikitumia pc natumia application inaitwa "vuze" hizo zina download Kwa kutumia link, so link ya movie natoa YTS. Ni hivo mkuu

Hizo ni torrent au inakuaje chief...?
 
Naombeni link ya kudownload movie ya nobody

T for Thanks
 
Vitu vya free hvyo unataka umvute mwenzio private upite na kashekeli kake sio poa.

Ni kweli vitu vya free ila still hajaweza kupata japokuwa ni free, that's why akaamua kuomba chief...!

Lakini pia sijamuuzia nimempa for free tu boss...!
 
Leo nimeshinda na Operation Finale..kikosi kazi cha majasusi wa ki Israel kinakwenda Argentina kumkamata mtuhumiwa Mkuu wa mauaji ya kimbari ya waisraeli zaidi ya milioni 6.
 


Hebu nisaidieni kwenye hizo series ipi ni nzuri niitazame wakuu...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…