Huu ndio uchawi wa lady jaydee

Huu ndio uchawi wa lady jaydee

nadhan akifungua redio atapeleka maisha yake ktk level nyingine maan wamiliki wengi wa redio wamekuwa wababishaj na wakandamiz sana, she is such a fighter!!
 
Jide yuko juu sio videm vingine vinambwela mbwela tu kukata mauno wakiwa uchi stejin wakidhani ndo faidaa
 
Nimeshangaa sana baada ya kuona AWARDS mbalimbali alizojinyakulia LADY JAYDEE tokea aanze muziki apa bongo mwaka 2000 hadi sasa 2013,tokea mwaka huo(2000) aanze muziki alibahatika kujinyakulia tunzo na hadi leo hii hajawahi kukosa tunzo ukijumlisha na zile alizopata uganda kama mara nne au tano ivi,tokea aanze muziki mwaka huo JIDE hajawahi kuchuja hadi leo hii bado yupo juu kimuziki hata kimaisha,kumbuka ni miaka kumi na tatu (13) sasa.Ki ukweli huyu msanii anahitaji heshima ya kipekee apa bongo na nchi za jirani pia.Hiki kitu sio cha kawaida kabisa kuwahi kutokea apa bongo.Achilia mbali mafanikio aliyoyapata ya kujenga jumba la kifahari,kumiliki mgahawa wa kisasa(NYUMBANI LOUNGE),kumiliki band ya music,kufungua STUDIO YA MUZIKI,na hivi karibuni yupo njiani kufungua RADIO STATION yake binafsi,can u imagine???,kufungua radio station sio kitu cha kawaida hata kidog especially kwa wasanii wetu wa apa bongo.Kwa sasa HAKUNA msanii yeyote awe wa kike au wa kiume mwenye ubavu wa kushindana na huyu bidada,SHE IS THE NUMBER ONE.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Huyu ni mfano wakuigwa sio wengine viuno na kukaa uchi ndio wanaona watafanikiwa
 
Napenda uchapa kazi wake, she is aggressive and determined, hayumbi hata kidogo for all These 13 yrs unaweza ona alikua imara tuu... Napenda pia urafiki wake na Mumewe wako begå kwa begå
 
Nimeshangaa sana baada ya kuona AWARDS mbalimbali alizojinyakulia LADY JAYDEE tokea aanze muziki apa bongo mwaka 2000 hadi sasa 2013,tokea mwaka huo(2000) aanze muziki alibahatika kujinyakulia tunzo na hadi leo hii hajawahi kukosa tunzo ukijumlisha na zile alizopata uganda kama mara nne au tano ivi,tokea aanze muziki mwaka huo JIDE hajawahi kuchuja hadi leo hii bado yupo juu kimuziki hata kimaisha,kumbuka ni miaka kumi na tatu (13) sasa.Ki ukweli huyu msanii anahitaji heshima ya kipekee apa bongo na nchi za jirani pia.Hiki kitu sio cha kawaida kabisa kuwahi kutokea apa bongo.Achilia mbali mafanikio aliyoyapata ya kujenga jumba la kifahari,kumiliki mgahawa wa kisasa(NYUMBANI LOUNGE),kumiliki band ya music,kufungua STUDIO YA MUZIKI,na hivi karibuni yupo njiani kufungua RADIO STATION yake binafsi,can u imagine???,kufungua radio station sio kitu cha kawaida hata kidog especially kwa wasanii wetu wa apa bongo.Kwa sasa HAKUNA msanii yeyote awe wa kike au wa kiume mwenye ubavu wa kushindana na huyu bidada,SHE IS THE NUMBER ONE.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
kwahiyo?? yatupasani sisi??
 
Mimi ninaona bora afunguwe tuu tusikilize hiyo na Times Fm
maana wale mafara wa Clouds sijui wameisha kabisa yaan hata fiester wana chemsha mbaya sikuhizi
sasa bora JiDe aje na redio yake ili awaaribie kabisa kama anavyofanya na wanavyo fanya East Africa radio na Tv kuwafunika kwenye shoow
 
she is doing great...

jide for real...
lady-jd-1bc.jpg


chezea toto ya musoma wewe!!
 
Napenda uchapa kazi wake, she is aggressive and determined, hayumbi hata kidogo for all These 13 yrs unaweza ona alikua imara tuu... Napenda pia urafiki wake na Mumewe wako begå kwa begå

mkuu kuwa aggressive ulimaanisha nini?
 
Mnazoleta ni longo longo neno uchawi hutumika sana kuvutia habari au jambo fulani.ni lugha ya picha inayomfanya mtu kuvutika na habari au jambo kabla ya kulikabili.na ndo maana umefungua mbio mbio ukijua ni ushirikina.zingine mnazoleta ni mbwembwe tu.goli la maradona linaitwa la mkono wa mungu inamaana mungu alimwazima maradona mkono.ni neno la kawaida sana na hutumika mara kwa mara.big up mtoa mada.
 
Halafu kuna ----- mmoja pale Mawingu anaitwa Rugay anasema Jide amekwisha, anatakiwa kukabidhi kijiti kwa wengine.
Jinga sana lile, kwani Bi Kidude alimkabidhi nani kijiti chake, kama hakufa nacho.

Hivi ni Ruge ama Ru gay?

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom