Huu ndio uhalilsia wangu, nitakuwa na tatizo?

Huu ndio uhalilsia wangu, nitakuwa na tatizo?

Sijui ni shida au hali ya kawaida;

1. Sipendi kabisa sherehe zinazonihusu, ila za wenzangu nachangia ila nadra sana kuhudhuria eg, gratuations, harusi, etc,kifupi sipendi attention.

2. Sipendi kuonewa huruma nikitokewa na changamoto ie sipendi kuambiwa pole kabisa.

3. Sipendi kuambiwa nakupenda au umependeza na mwanamke yeyote hata awe mke wangu huwaga nakausha na najisikia vibaya.

4. Napenda sana kusaidia/kutoa ila sipendi kusaidiwa au kupewa.

5. Huwaga siogopi sana changamoto...hata kama nimefukuzwa kazi ama deal limekwama huwaga sioneshi mshtuko mkubwa hata kama nitaumia.

6. Sipendi kuchat - niko na groups 3 za whatsup.

7. Sio muoga kabisa kwa mambo mengi sana ambayo pengine wengine wanayahofia.

NB: Ni mtu wa kujichanganya sana na watu na mcheshi.
Sawa.
 
Sijui ni shida au hali ya kawaida;

1. Sipendi kabisa sherehe zinazonihusu, ila za wenzangu nachangia ila nadra sana kuhudhuria eg, gratuations, harusi, etc,kifupi sipendi attention.

2. Sipendi kuonewa huruma nikitokewa na changamoto ie sipendi kuambiwa pole kabisa.

3. Sipendi kuambiwa nakupenda au umependeza na mwanamke yeyote hata awe mke wangu huwaga nakausha na najisikia vibaya.

4. Napenda sana kusaidia/kutoa ila sipendi kusaidiwa au kupewa.

5. Huwaga siogopi sana changamoto...hata kama nimefukuzwa kazi ama deal limekwama huwaga sioneshi mshtuko mkubwa hata kama nitaumia.

6. Sipendi kuchat - niko na groups 3 za whatsup.

7. Sio muoga kabisa kwa mambo mengi sana ambayo pengine wengine wanayahofia.

NB: Ni mtu wa kujichanganya sana na watu na mcheshi.

Namba 1 &4 inaonyesha una shida, jaribu kurekebisha. Hasahasa namba 4, umekuwa mungu wewe kusema hupendi kupokea unapenda kutoa tu?

Ukiwa mtu wa aina hii utachelewa kujua wanaokupenda kiuhalisi ni wakina nani. Na ubaya ukipata tatizo kubwa, uliokuwa unawasaidia wanakukimbia unaanza kujilaumu.

As long as wewe ni mwanadamu, usitoe kitu kwenda sehemu ambapo hakuna faida ya kiuwekezaji maana kama kutoa kukiwa in mutual terms hata upendo unajengwa na kukuzwa.
 
Back
Top Bottom