joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Wakenya amkeni na Pesa mmeamua kuibadili eti kisa ni kupunguza ufisadi ,hongereni maana hao wakubwa wanao badili fedha ndio mafisadi wakubwa. Maoni yangu huo ni mdororo wa uchumiTuanze na Tanzania kwanza, tuanzie hapa kwetu
Hahahahaha, wenye akili hao wanawafumbua macho, ninyi bado mnaendelea kuchapa usingizi, soma comments za wakenya wenzenu hapo chini .Unataka zima moto kwa jirani na kwako kuna moto pia?
Kwenu nchi ya asali na maziwa?Hahahahaha, wenye akili hao wanawafumbua macho, ninyi bado mnaendelea kuchapa usingizi, soma comments za wakenya wenzenu hapo chini .
Kwenye hili tuache unafiki aisee...Ulichosema ni ukweli mtupu...Unataka zima moto kwa jirani na kwako kuna moto pia?
Ah wapi! Watu wanakula viwavi na wengine meffi ya kuku.Kwenu nchi ya asali na maziwa?
leta mijadala ya ma professor wakiongelea kuhusu ripoti ya CAG...bwahahaaaama bongo hamna ma professor..au wanaogopa kutekwa...wuhuhuuuu
Japo kuna wakenya wanajaribu kujipa MOYO, lakini hali ya Kenya ni mbaya sana. Jaribu kumsikiliza huyu professor na kumuangalia usoni, ni mtu anayezungumza kwa hisia sana na yupo tayari kufanya lolote, anasubiri vijana walianzishe ili awaunge mkono.
Kenya amkeni mchukue nchi yenu kutoka kwa Jubilee, wameshindwa kabisa kuongoza nchi. Sudan hali haikuwa mbaya kama ilivyo Kenya, lakini bado walichukua nchi yao, GDP yao ni $119, na GDP per capital ni $3000 far ahead, lakini ilikua katika makaratasi wakati wananchi hali za maisha zilikua ngumu. Kenya wakati wenu ni sasa, kama sio sasa ni sasa hivi, AMKENI.
Ninyi ndio wale wanaoishia katika phonograph na EPL, hamuisaidii nchi yenu, Professor Manyora anawaamsha ninyi mchana kutwa mnatafuna mirungi, hamjui mwelekeo wa dunia.leta mijadala ya ma professor wakiongelea kuhusu ripoti ya CAG...bwahahaaaama bongo hamna ma professor..au wanaogopa kutekwa...wuhuhuuuu
wacha kukwepa mada hapa...tz kwn hakuna ma professor...au wanmuogopa mkulu..bwahahaa...watatekwa tangu wao na hyo tv station..hku wakiambiwa wanataka kuleta vuruguNinyi ndio wale wanaoishia katika phonograph na EPL, hamuisaidii nchi yenu, Professor Manyora anawaamsha ninyi mchana kutwa mnatafuna mirungi, hamjui mwelekeo wa dunia.
Wewe ni jinga sana, Mimi sio mume wako nikuletee kila kitu. Mimi ninatafuta kwa juhudu "weaknessed" ili nikushambulie, badala ya wewe kutafuta weaknesses zetu, eti unaniambia Mimi ndio nikufanyie kazi hiyo, wewe kazi gani unafanya hapo ulipo?, acha kujilegeza, au wewe ni shoga unashikishwa ukuta?wacha kukwepa mada hapa...tz kwn hakuna ma professor...au wanmuogopa mkulu..bwahahaa...watatekwa tangu wao na hyo tv station..hku wakiambiwa wanataka kuleta vurugu
Ndio nyinyi mtupite?
Japo kuna wakenya wanajaribu kujipa MOYO, lakini hali ya Kenya ni mbaya sana. Jaribu kumsikiliza huyu professor na kumuangalia usoni, ni mtu anayezungumza kwa hisia sana na yupo tayari kufanya lolote, anasubiri vijana walianzishe ili awaunge mkono.
Kenya amkeni mchukue nchi yenu kutoka kwa Jubilee, wameshindwa kabisa kuongoza nchi. Sudan hali haikuwa mbaya kama ilivyo Kenya, lakini bado walichukua nchi yao, GDP yao ni $119, na GDP per capital ni $3000 far ahead, lakini ilikua katika makaratasi wakati wananchi hali za maisha zilikua ngumu. Kenya wakati wenu ni sasa, kama sio sasa ni sasa hivi, AMKENI.
Yaani wewe uko always negative about Kenya
Japo kuna wakenya wanajaribu kujipa MOYO, lakini hali ya Kenya ni mbaya sana. Jaribu kumsikiliza huyu professor na kumuangalia usoni, ni mtu anayezungumza kwa hisia sana na yupo tayari kufanya lolote, anasubiri vijana walianzishe ili awaunge mkono.
Kenya amkeni mchukue nchi yenu kutoka kwa Jubilee, wameshindwa kabisa kuongoza nchi. Sudan hali haikuwa mbaya kama ilivyo Kenya, lakini bado walichukua nchi yao, GDP yao ni $119, na GDP per capital ni $3000 far ahead, lakini ilikua katika makaratasi wakati wananchi hali za maisha zilikua ngumu. Kenya wakati wenu ni sasa, kama sio sasa ni sasa hivi, AMKENI.
vipi kuhusu tanzania ya utawala wa chama cha mapinduzi tangu uhuru?.
Japo kuna wakenya wanajaribu kujipa MOYO, lakini hali ya Kenya ni mbaya sana. Jaribu kumsikiliza huyu professor na kumuangalia usoni, ni mtu anayezungumza kwa hisia sana na yupo tayari kufanya lolote, anasubiri vijana walianzishe ili awaunge mkono.
Kenya amkeni mchukue nchi yenu kutoka kwa Jubilee, wameshindwa kabisa kuongoza nchi. Sudan hali haikuwa mbaya kama ilivyo Kenya, lakini bado walichukua nchi yao, GDP yao ni $119, na GDP per capital ni $3000 far ahead, lakini ilikua katika makaratasi wakati wananchi hali za maisha zilikua ngumu. Kenya wakati wenu ni sasa, kama sio sasa ni sasa hivi, AMKENI.
Kwanza nisikie comments zako kuhusu unayosema huyo professor, mtizamo wako ni upi?vipi kuhusu tanzania ya utawala wa chama cha mapinduzi tangu uhuru?.
Hayo ya Kenya unayajua kwa vile kuna uhuru wa vyombo vya habari na maoni.Kwanza nisikie comments zako kuhusu unayosema huyo professor, mtizamo wako ni upi?
Kwanza ninataka kusikia maoni yako kuhusu aliyosema Prof. Manyora, ni ukweli au na yeye ni mtu toka upinzani " jealous and full of inferiority complex? ".Hayo ya Kenya unayajua kwa vile kuna uhuru wa vyombo vya habari na maoni.
Tz nani mwenye ubavu wa kuleta hoja kama hizi?