ndughuri msuya
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 1,974
- 2,920
Hiyo China inayowapa misaada na mikopo ya nguvu ni ya vyama vingapi ?vipi kuhusu tanzania ya utawala wa chama cha mapinduzi tangu uhuru?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo China inayowapa misaada na mikopo ya nguvu ni ya vyama vingapi ?vipi kuhusu tanzania ya utawala wa chama cha mapinduzi tangu uhuru?.
Hahahahaha, wenye akili hao wanawafumbua macho, ninyi bado mnaendelea kuchapa usingizi, soma comments za wakenya wenzenu hapo chini .
kwanza pia na sisi tunataka kuskia kutoka kwako...kwn tanzani hakuna ma profssor wakuliongelea swala la CAG ...bwahahaaKwanza ninataka kusikia maoni yako kuhusu aliyosema Prof. Manyora, ni ukweli au na yeye ni mtu toka upinzani " jealous and full of inferiority complex? ".
povu mbashara...yani mpka natusi...bwahahaaa .baada ya matusi ni leta kibera na turkana...heheeeeWewe ni jinga sana, Mimi sio mume wako nikuletee kila kitu. Mimi ninatafuta kwa juhudu "weaknessed" ili nikushambulie, badala ya wewe kutafuta weaknesses zetu, eti unaniambia Mimi ndio nikufanyie kazi hiyo, wewe kazi gani unafanya hapo ulipo?, acha kujilegeza, au wewe ni shoga unashikishwa ukuta?
Kenya mmezidi afu mambo yanaharibika baada muamke fasta nyie kila siku mnajidai vitu vya kijingaaNchi zote za Africa zinaexperience same problem....hakuna nchi better...tuache kubebana kama magunia.
Nchi zote za Africa zinaexperience same problem....hakuna nchi better...tuache kubebana kama magunia.
Kenya tuna madudu, ndio maana tunayaweka wazi,tunayajadili na kuyatafutia suluhu! Nadhani nimekuweka sawa.Kwanza ninataka kusikia maoni yako kuhusu aliyosema Prof. Manyora, ni ukweli au na yeye ni mtu toka upinzani " jealous and full of inferiority complex? ".
Sasa unataka tuseme uwongo kwamba sisi ni eledisi kantri?Bro mi napinga hiyo kauli yako.
Mbona kuna wengine wanajiita mido inkamu kantri?
Kenya tuna madudu, ndio maana tunayaweka wazi,tunayajadili na kuyatafutia suluhu! Nadhani nimekuweka sawa.
Sasa nipe jibu la swali langu mkuu.
Kenya mmezidi afu mambo yanaharibika baada muamke fasta nyie kila siku mnajidai vitu vya kijingaa
Katika mapendekezo yake, moja ni kuwataka vijana wasimame na kuingia mitaani ili kuikomboa nchi, hili mnalifanyiaje kazi?Kenya tuna madudu, ndio maana tunayaweka wazi,tunayajadili na kuyatafutia suluhu! Nadhani nimekuweka sawa.
Sasa nipe jibu la swali langu mkuu.