Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sasaWaloudhuria miongoni mwao umemtaja Mwana FA. waliokoment tena ukamtaja huyohuyo hivi huoni kama umejitekenya alafu ukacheka mwenyewe?
Tatizo kubwa ni ile kauli yao ya "Dia/my nikuambie kitu?" ....Watu wameamua kuvuka border baada ya kuona madem wa kibongo wengi ni Sanaa na wasanii
iyo kauli aisee huwa inakera "..nikuambie kitu.." mapigo ya moyo huwa yanaongezeka kusubiri kibomu kipi kitajiri.Tatizo kubwa ni ile kauli yao ya "Dia/my nikuambie kitu?" ....
Tutaenda Rwanda na Burundi kwa sana tu.
Tatizo kubwa ni ile kauli yao ya "Dia/my nikuambie kitu?" ....
Tutaenda Rwanda na Burundi kwa sana tu.
Hata Mimi soon naenda kutoa Mahali Rwanda Mkuu ningependa nikuarike kama Ratiba zako zitaruhusu Mkuu
Hahaha. Pole sana mkuu.iyo kauli aisee huwa inakera "..nikuambie kitu.." mapigo ya moyo huwa yanaongezeka kusubiri kibomu kipi kitajiri.
Tehe tehe... Acha tu mkuu. Hiyo kauli inaweza kukusukuma ukajikuta unamuhadithia waifu kuhusu huyo mchepuko bila ya kujua.Hahaaha ile kauli nomaaaa bora tulioa mapemaaaaa
Mkuu naskia hao watu wanatokwa maji ya maana. Kama huamini muulize Brother KChuki ni kidonda ....uuuhhhhhh Ugua pole!
in G nako voice!
Sio kweli usiishi kwa kusikia mimi nawajuaMkuu naskia hao watu wanatokwa maji ya maana. Kama huamini muulize Brother K
Mbona wenyewe wanasema ndio wanatoka maji kama bomba. Nimeuliza mnyarwanda na muhaya wote wamesema ndio. Wewe unakataa kama nani?Sio kweli usiishi kwa kusikia mimi nawajua
Nasema kama mtu ninae wajua wanyarwanda nashangaa ndugu kukomaa kwa mambo ya kuambiwa naona umeingiza na wahaya tenaMbona wenyewe wanasema ndio wanatoka maji kama bomba. Nimeuliza mnyarwanda na muhaya wote wamesema ndio. Wewe unakataa kama nani?
Kwa jinsi walivyo wanawake wa kinyarwanda na tabia zao, uataona kijana anaakisi hadithi na hulka za kinyarwanda. Na ukimuangalia huo unyakyusa hana, ipo siku utasikia amepewa nyadhifa kwenye serikali ya Mr. Slimmamake AY ni mnyarwanda, na yeye huwa anajiona mnyarwanda kuliko mnyakyusa au? hilo jina la kinyakyusa nalo abadilishe basi. nilishawahi kusikiliza mahojiano yake fulani, alionyesha kujisikia viziri sana kwamba mamake sio mtz ni mnyarwanda, hapo ndipo nikaona nguvu ya mama kwa hawa watoto wetu.
Habari ndio hiyo kubali kataa.Nasema kama mtu ninae wajua wanyarwanda nashangaa ndugu kukomaa kwa mambo ya kuambiwa naona umeingiza na wahaya tena
MwanaFA alikufanya nini?Waloudhuria miongoni mwao umemtaja Mwana FA. waliokoment tena ukamtaja huyohuyo hivi huoni kama umejitekenya alafu ukacheka mwenyewe?
NADHANI MHE RAIS ATALIFURAHIA HILI MAANA ANAJARIBU SANA KUTUUNGANISHA NA WARWANDA.
AY JIANDAE KWA UTEUZI KUWA BALOZI WA TANZANIA RWANDA ILI UWE KARIBU NA MKEO..