Huu ndio ukweli kwa hawa wawili.Diamond & Kiba

Mtu akianza kusema sina Team huwa naanza kuwa na mashaka. Maana baadae akiendelea tu huona moja kwa moja ame base wapi.
 
huku zenji huyo kiba ndo hata hatumuelewi kiviiile,yani naye ni zama za kale...uku kila gari ina chata ya WCB iwe binafc au daladala,ktk kuranda yangu yoote cjakumbana na gari ilyoandikwa kingkiba...hii inanonesha wazi kuwa kiba anabebwa na watu wachache mno tena kwenye mitandao lkn ukija mtaani mpk mdogo wng kwenye avata apo anaimba zilipendwa,iyo seduce nazani ata hajui uwepo wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…