Huu ndio umri halali wa le baharia

Status
Not open for further replies.
Naona anakula bata kwenye schoo bush ya mwaka jana
 
Hivi huyo mange huwa analala saa ngapi? Watu marekani tumelala unaamka asubuhi unakuta huyu mama kapost mavitu saa nane za usiku saa tisa mpaka kumi! Hivi huyu mama ana maisha mengine zaidi ya social network?? Kweli mzungu alipatikana aise. Huyu dada ni zaidi ya jipu uchungu.
 
55 ni number tuu, bado mbichi sana..! Tafuna totoz kwa ujana bandia afu si muda una applly ubabu maana totoz pia zinapenda babuz[emoji8] [emoji8] [emoji8]
 
Lakini hajawahi kukanusha chochote kile kuhusu umri wake.

Halafu kwani ajabu ni nini hapo?

Si umri tu...na kila mmoja ana wa kwake.

Wangapi humu tutaufikia huo umri?
Ha ha ha nlicheka alisema hawezi kusema umri wake coz tutaacha kumsema so hii kitu imenichekesha tu
No chuki wala
 
55 anahudhuria school bash kama kawa kwa raha zake na kwenye show za wcb yumo kila mkoa
 
Teh salamu yake itakua "mama Habari za sahizi"
 
Wabongo tunamajungu sana kwa LE AKILI KUBWAZZZ, ngoja marekani waje KUMCHUKUA ndio tutaona tulikuwa tunachezea shilingi kwenye tundu la choo

Ye hanaga habari. Yani comment moja tu hapa inamuongezea MAMILIONI huku ye ametulia zake DOWNTOWN na WABEBEZ WAKALI wanakula BATAZ UBATANI
 
kazi yake kutumbua
 
hahah asee umenchekesha eti kaposti vitu saa nane za ucku
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…