Hahaa mbona anapenda sana kusema yeye ni mtoto wa mjini kazaliwa Ocean rd jijini.Sijui Dr Magufuli atamkumbuka kati ukuu wa wilaya nae kashasema hataki wazee,hii ni mipango mahususi ya kuharibia Le Baharia "Le Mutuzzz".Halafu kumbe si mtoto wa mjini kazaliwa Tukuyu Dar kajakuona majuzi tu.
Hahaa mbona anapenda sana kusema yeye ni mtoto wa mjini kazaliwa Ocean rd jijini.
Lemutuz kaumbuka kweli,!!!
Ni mjomba wake wa kufikia kwa mujibu wa Lemutuzhivi huyo mage cjui mange kimambi ishu yake kubwa ni nin hapa mjini, mbona kama amemuandama sana le papaa mpka naanza kuona tc too much na haipendezi kuweka privacy ya mtu instagram. wanamahusiano gani kwani na imekuaje amuanike mwenzie in that way. @nimekwazika.
Alafu aliyemuumbua anamuita le bahariaa baba mdogo /mjomba wa kufikia teh teh,sijawahi kuona huyu mzee kawa mpole kama hizi siku mbili tatu,uchizi wa mange ni some next level shit.hizi siku mbili tatu naona jamaa anapita kwenye kipindi kigumu cha maisha ya social media, inabidi ajilaumu mwenyewe kwa kujikweza kwenye mitandao sababu sio kila mtu atakuwa anampenda na watu wanaomjua zaidi wanaweza kumharibia
sio mamaake mzazi huyo.mamaake yuko bush huko saiz.mzee alifanya usajili dirisha dogo.ina maana mama yake alimzaa akiwa na miaka 5. duh, hii inapaswa iwe kwenye Guiness records
hili jiwe halikurushwa gizani,ilikuwa mchana kweupe.mrushaji na mrushiwa walikuwa wakitizamana usoni so haikuwa na haja ya kuskiliza nani kapiga yowe.
HA HAHA ha haaaaaaaa, daaaah, kiongozi wewe ni nomaaaaa, duuuh, umeitafuta hadi huko. ha ha haaa. niache kwa leo....nimecheka hatari.
Mamake wa Kambooina maana mama yake alimzaa akiwa na miaka 5. duh, hii inapaswa iwe kwenye Guiness records
hapa kuna uwezekano mkubwa akawa amedanganya umri yaani kapunguza miaka....Le mutuz anasatahili heshima, ni mtu mzima sana, ingekuwa amri yangu anafaa apigiwe mizinga 21......
Shkamoo le mutuz
Birthday loading..... 25 June 😀
View attachment 352956
Kilaza alio wasema Magufulihesabu ulisoma kweli wewe
Teh umenikumbusha hiyo Peugeot 504 mzee alikuaga nayo enzi hizooo nawe ni age mate wa le baharia nini ha ha haYaani nusu karne plus 5 years
Mashallah mwenyezi Mungu kamjaalia.
Wangapi mtafikisha umri huo?.....
Namkumbuka zamaani akiendesha peugeot 504 mkoani.
Alipotoka melini nikamkuta na AUDI black mziki mkubwee.
umeijuaje hiyo Peugeot kama na wewe sio wa Enzi hizoTeh umenikumbusha hiyo Peugeot 504 mzee alikuaga nayo enzi hizooo nawe ni age mate wa le baharia nini ha ha ha