Hiyo kule kwetu ilikuwa hairuhusiwi kupigwa kama hamna uhakika wa mbege japo debe sita. Radio kaseti aina ya LASONIC ndio ilikuwa inautoa vizuri. Ili burudani inoge betri ya gari ndio ilikuwa chanzo cha eneji kwenye hii radio.Kikuku kinanukiaaaaaax2.....Yekeyeke kua yekeyeke (More kante).
Nani alishawahi kuvaa viatu vya omega (made in kenya)? Vilikua vya plastic ila kama vya ngozi veusi, tuliviita mwisho saa sita.
hapa mwamba imebidi nipasue mbavu! halaf pembeni kuna intapreta keshakula bange zake anakuzuga anakwambia hapa madonna anazungumzia kuchukua "holidei bila malipo" heheheehhalafu inafuata:
HOLIDEEEEEI..... IFI YU TUKU HOLIDEI....... Titititititit AND YU STATI SELEBREIT
Nikusihiii, nikusihi soooojaaaaa!
Ni afadhali yetu wanywa masanga kuliko wavuta bange.Mkuu Maxcence na team nzima huvi ile Chart Room imeshaanzishwa? Masuala mengine kama haya yafanyike chart room.
Mkuu Maxcence na team nzima huvi ile Chart Room imeshaanzishwa? Masuala mengine kama haya yafanyike chart room.
Ni afadhali yetu wanywa masanga kuliko wavuta bange.
Homuboi vipi tena?Noname!
Chondechonde homuboi usisahau. Unajua nisipogongewa hako ka nidful batan japo mara kumi kwa siku huwa naanguka kaunta.kafevareti batani sikaoni hommie ila kakirudi nta du the nidful.....
enzi zenu mazee........
MAMBO BADO JAMANII MAMBO BAAADDOOOOOOOOOOOO!..........
haya sasa xpin na kaizer hebu toeni maelezo hiyo picha na hiyo pozi ya dole nahisi lazima tu hapa mliiba na perfum ya maza mkajipulizia kabla yakupiga hii picha,hapa nahisi kuku wa mtaani wameshajeruhiwa kwa manati kabla ya kwenda kucheza tayari bado na kibaba na mama!
Homuboi vipi tena?
Mbona tunataka kuingiliana kwenye maslahi yetu? BTW gesti gani ulikuwa leo?
Enzi hizo ukipiga picha bila kuonyesha dole gumba picha ilikuwa haitoki. Dah! Maskini kipindi hicho tayari nlishacheza mchezo wa baba na mama. Hapo bikra kwisha habari yake.haya sasa xpin na kaizer hebu toeni maelezo hiyo picha na hiyo pozi ya dole nahisi lazima tu hapa mliiba na perfum ya maza mkajipulizia kabla yakupiga hii picha,hapa nahisi kuku wa mtaani wameshajeruhiwa kwa manati kabla ya kwenda kucheza tayari bado na kibaba na mama!
Chukua, chukua, mambo baadoooooooooooooooomambo baaado jamaaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
MAMBO BAAAAAAAAAADOOOOOOOOOOOOOO