HUU NDIO URAFIKI WA KWELI!...muoneni x-pin na hommie wake kaizer enzi zao kule MKUU

HUU NDIO URAFIKI WA KWELI!...muoneni x-pin na hommie wake kaizer enzi zao kule MKUU

mareliaaaaaa kwaheeriii eeeh
kwaheri kwaheri nakutakia kifoo chemaaaa
kwaherii kwaheeriii
urudi kwenu nyumbaniiii
kwaheri kwaheriii eeeeh
deh deh deh! hii sredi inaongeza umri wangu! huu wimbo kuwa makini mwamba,ZINDUKA wakiuona wanaweza kuutumia kwenye SLOGAN yao halafu wakakufungulia kesi kama Mr 2. hehehe
 
deh deh deh! hii sredi inaongeza umri wangu! huu wimbo kuwa makini mwamba,ZINDUKA wakiuona wanaweza kuutumia kwenye SLOGAN yao halafu wakakufungulia kesi kama Mr 2. hehehe

HEHEHEHE!
nimeinote hiyo WITH MANY THANKS
 
mi nimeshafika,mbona hamji?😀😀

hebu piga mluzi maana hatukuoni kuna nyomi mbya hapa

........hehehehe!dah dah dah dah!hahahahaha!nimesoma na nimeelewa vyema


hii lugha ya kati kati ya mistari tahakikisha watu wachache sana mnaijua!CHIPOLOPOLO ITABIDI WASIIJUE..!(siri ya jeshi)

hahaaa umenikumbusha Xpin alivyokwaza na 'avatar' lol!! kayikati ya 'mistari' ni top secret
 
ha ha ha ha, hii itakuwa barabara ya AFRIKA MASHARIKI maeneo ya KENI
 
hebu piga mluzi maana hatukuoni kuna nyomi mbya hapa

SASA MIMI NAOGOPA KUKUANGALIA!na hili baridi wewe umevaa kizibao na pedo?
aah!
mio narudi bwana
 
SASA MIMI NAOGOPA KUKUANGALIA!na hili baridi wewe umevaa kizibao na pedo?
aah!
mio narudi bwana


aaaah sasa mpwaz unaogopa nini hebu niangalie bana!! haiwezekani upoteze fyuweli ya tuktuku mpaka hapa afu tena urudi kapa, hebu tulia ni kama nimekuona vile....Kaizer subiri!!

mwenyewe afya inaruhusu kuvaa hivi!!!
 
Ni afadhali yetu wanywa masanga kuliko wavuta bange.

Wewe ndiyo umevuta hasa kama hufahamu kuwa kuna issue za PM na chart room!! Ha! Don't ever try to polute the atmosphere!

Mbona Post zimejaa kibao kwenye hii Forum? we ukiona hazipandi Ipotezee tu....Acha sisi tuburudike!!

Nina uhuru wa kusema lolote ndani ya forum yoyote ili mradi sijatukana mtu ila kila kitu must be organised in its respective forum. Ha!!

 
Wewe ndiyo umevuta hasa kama hufahamu kuwa kuna issue za PM na chart room!! Ha! Don't ever try to polute the atmosphere!



Nina uhuru wa kusema lolote ndani ya forum yoyote ili mradi sijatukana mtu ila kila kitu must be organised in its respective forum. Ha!!


wats not happening here tena??
 
Wewe ndiyo umevuta hasa kama hufahamu kuwa kuna issue za PM na chart room!! Ha! Don't ever try to polute the atmosphere!


Nyauuuuuuu nyauuu!!

Nina uhuru wa kusema lolote ndani ya forum yoyote ili mradi sijatukana mtu ila kila kitu must be organised in its respective forum. Ha!!

nn ambacho hakijawa organised hapa?
 
hehehe!hivi ulisema buku jero MWAKE?

sana tu kakaake kuliko kugombana na njaa better spend that much kwa afya yako
lete buku jero tumalize biashara!!!
 
Hommie nimeshtuka anataka kunywa Sipirini juu yangwa kwani nini? ndo namstua ivo siku hizi kujiua hailipi kabisa

(aluu gesti zimejaa hapa ngoja ni do ze nidiful nichape lapa haraka)
hahhaaaaaaaaa Kaizer bora umerudi bana...
Chrispo kisha nifundisha dawa ya hangover... situmii tena asprin....
 
kuchomoka ilikuwa lazima hata kwa kung'ata na meno au kupiga kyeleuwi maana usipochomoka halafu maza akisikia ulionekana vichani sijui na kina xpin
na mahomuboi zake hivyo viboko vyake hutaweza kukaa mwezi mzima!
mama yetu alikuwa mkali kama simba jike,siku moja alikuja mtoto wa ndugu akamdanganya maza kuwa eti kaniona nikidumisha mila nililia hadi nikazimia maana nilijua maza ataniua!lol
Kyeleuuuwi mshikiiiiz!😀😀
Labda huyo homuboi wangu asiwe Kaizer. Vinginevyo hutoki, unabisha niape?

Hehehe! Karibu kwenye chama chetu! Mila bwana..... Jamani hamani jamani.

Ngoja nikuPM shortly!! Usimwambie mtu lakini. Especialy Kaizer😀😀😀

 
Kyeleuuuwi mshikiiiiz!😀😀
Labda huyo homuboi wangu asiwe Kaizer. Vinginevyo hutoki, unabisha niape?

Hehehe! Karibu kwenye chama chetu! Mila bwana..... Jamani hamani jamani.

Ngoja nikuPM shortly!! Usimwambie mtu lakini. Especialy Kaizer😀😀😀

JAMANI JAMANI JAMANI!.........
hivi sms zikitumwa mchana huwa hazijibiwi?
jamani jamani jamani
 
Back
Top Bottom