klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
deh deh deh! hii sredi inaongeza umri wangu! huu wimbo kuwa makini mwamba,ZINDUKA wakiuona wanaweza kuutumia kwenye SLOGAN yao halafu wakakufungulia kesi kama Mr 2. hehehemareliaaaaaa kwaheeriii eeeh
kwaheri kwaheri nakutakia kifoo chemaaaa
kwaherii kwaheeriii
urudi kwenu nyumbaniiii
kwaheri kwaheriii eeeeh
mi nimeshafika,mbona hamji?ππ
........hehehehe!dah dah dah dah!hahahahaha!nimesoma na nimeelewa vyema
hii lugha ya kati kati ya mistari tahakikisha watu wachache sana mnaijua!CHIPOLOPOLO ITABIDI WASIIJUE..!(siri ya jeshi)
SASA MIMI NAOGOPA KUKUANGALIA!na hili baridi wewe umevaa kizibao na pedo?
aah!
mio narudi bwana
Ni afadhali yetu wanywa masanga kuliko wavuta bange.
Mbona Post zimejaa kibao kwenye hii Forum? we ukiona hazipandi Ipotezee tu....Acha sisi tuburudike!!
Wewe ndiyo umevuta hasa kama hufahamu kuwa kuna issue za PM na chart room!! Ha! Don't ever try to polute the atmosphere!
Nina uhuru wa kusema lolote ndani ya forum yoyote ili mradi sijatukana mtu ila kila kitu must be organised in its respective forum. Ha!!
Ha!
HA!
nn ambacho hakijawa organised hapa?Wewe ndiyo umevuta hasa kama hufahamu kuwa kuna issue za PM na chart room!! Ha! Don't ever try to polute the atmosphere!
Nyauuuuuuu nyauuu!!
Nina uhuru wa kusema lolote ndani ya forum yoyote ili mradi sijatukana mtu ila kila kitu must be organised in its respective forum. Ha!!
hehehe!hivi ulisema buku jero MWAKE?
nn ambacho hakijawa organised hapa?
labda turudi darasani mpwaaz,
WHAT IS AN ORGANIZATION?
hahhaaaaaaaaa Kaizer bora umerudi bana...Hommie nimeshtuka anataka kunywa Sipirini juu yangwa kwani nini? ndo namstua ivo siku hizi kujiua hailipi kabisa
(aluu gesti zimejaa hapa ngoja ni do ze nidiful nichape lapa haraka)
Kyeleuuuwi mshikiiiiz!ππkuchomoka ilikuwa lazima hata kwa kung'ata na meno au kupiga kyeleuwi maana usipochomoka halafu maza akisikia ulionekana vichani sijui na kina xpin
na mahomuboi zake hivyo viboko vyake hutaweza kukaa mwezi mzima!
mama yetu alikuwa mkali kama simba jike,siku moja alikuja mtoto wa ndugu akamdanganya maza kuwa eti kaniona nikidumisha mila nililia hadi nikazimia maana nilijua maza ataniua!lol
JAMANI JAMANI JAMANI!.........Kyeleuuuwi mshikiiiiz!ππ
Labda huyo homuboi wangu asiwe Kaizer. Vinginevyo hutoki, unabisha niape?
Hehehe! Karibu kwenye chama chetu! Mila bwana..... Jamani hamani jamani.
Ngoja nikuPM shortly!! Usimwambie mtu lakini. Especialy Kaizerπππ
Ngoja nikague inbox yangu!!!!JAMANI JAMANI JAMANI!.........
hivi sms zikitumwa mchana huwa hazijibiwi?
jamani jamani jamani