Huu ndio Usalama wa mwanaume

Huu ndio Usalama wa mwanaume

mwanzo wetu

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2014
Posts
1,581
Reaction score
462
Habari vijana wenzangu pamoja na wanajukwaa Kwa ujumla..

Na tumai mko salama wote ,
Jambo kuu ni kwa wapenda sketi hasa vijana.

Vijana Sasa hivi tunakumbwa na magonjwa mengi hasa yanayotokana na kufanya ngongo isiyo salama.

Kuna Kila sababu wanaume kujali sana afya zetu Ili tudumu Kwa mda mrefu.
Hivi karibuni nimegundua hili Baada ya kushambuliwa na magonjwa ya ngono zembe, kwanza kabisa nimegundua uume hauamki kama unamatatizo ya magonjwa ya kingono ngono.

Na mshukuru Mungu Now nimepona hivyo ni meona vema kuwashirikisha vijana tusiwe na haraka na ngono Ili tusipate matatizo makubwa, magine uume wangu ulikuwa unaamka Kwa shida ila now Toka ni pone unakaa Uko juujuu kama ngoma za daku tofauti na hapo awali.

Kwa wakati huu Nakalinda sana haka kadudu kama yai maana magonjwa Yapo ndugu zanguni.

Mambo ya kuwekeana vidudu siyo poa kabisa tujilinde sana Ili tufike uzeeni.

Nawasilisha kwenu wakorintho.🙌
 
Tafuta mtu wako mmoja wa kueleweka muweke ndani kupunguza dhahama kama hizo boss...
 
Hiyo ni yakwako

Life is too short, kula mbussu ukipata kwa kua unaeza usiione kesho

Maswala ya kujikinga, Kila mtu anajua, usipojikinga, ni juu ako
 
Oyaa broo acha ngono zembe mbona watu wana miliki wake kwa zaidi ya miaka 25 na hawalalamiki kama wewe kikubwa acha tamaa
 
Habari vijana wenzangu pamoja na wanajukwaa Kwa ujumla..

Na tumai mko salama wote ,
Jambo kuu ni kwa wapenda sketi hasa vijana.

Vijana Sasa hivi tunakumbwa na magonjwa mengi hasa yanayotokana na kufanya ngongo isiyo salama.

Kuna Kila sababu wanaume kujali sana afya zetu Ili tudumu Kwa mda mrefu.
Hivi karibuni nimegundua hili Baada ya kushambuliwa na magonjwa ya ngono zembe, kwanza kabisa nimegundua uume hauamki kama unamatatizo ya magonjwa ya kingono ngono.

Na mshukuru Mungu Now nimepona hivyo ni meona vema kuwashirikisha vijana tusiwe na haraka na ngono Ili tusipate matatizo makubwa, magine uume wangu ulikuwa unaamka Kwa shida ila now Toka ni pone unakaa Uko juujuu kama ngoma za daku tofauti na hapo awali.

Kwa wakati huu Nakalinda sana haka kadudu kama yai maana magonjwa Yapo ndugu zanguni.

Ukiangalia Kwa umakini utaona kirefu Cha neno **** kuwa ni ,.
K-kifo.
U-umasikini.
M-magonjwa.
A-Aibu.

Mambo ya kuwekeana vidudu siyo poa kabisa tujilinde sana Ili tufike uzeeni.

Nawasilisha kwenu wakorintho.🙌
Punguza uzinzi chief
 
Habari vijana wenzangu pamoja na wanajukwaa Kwa ujumla..

Na tumai mko salama wote ,
Jambo kuu ni kwa wapenda sketi hasa vijana.

Vijana Sasa hivi tunakumbwa na magonjwa mengi hasa yanayotokana na kufanya ngongo isiyo salama.

Kuna Kila sababu wanaume kujali sana afya zetu Ili tudumu Kwa mda mrefu.
Hivi karibuni nimegundua hili Baada ya kushambuliwa na magonjwa ya ngono zembe, kwanza kabisa nimegundua uume hauamki kama unamatatizo ya magonjwa ya kingono ngono.

Na mshukuru Mungu Now nimepona hivyo ni meona vema kuwashirikisha vijana tusiwe na haraka na ngono Ili tusipate matatizo makubwa, magine uume wangu ulikuwa unaamka Kwa shida ila now Toka ni pone unakaa Uko juujuu kama ngoma za daku tofauti na hapo awali.

Kwa wakati huu Nakalinda sana haka kadudu kama yai maana magonjwa Yapo ndugu zanguni.

Ukiangalia Kwa umakini utaona kirefu Cha neno **** kuwa ni ,.
K-kifo.
U-umasikini.
M-magonjwa.
A-Aibu.

Mambo ya kuwekeana vidudu siyo poa kabisa tujilinde sana Ili tufike uzeeni.

Nawasilisha kwenu wakorintho.🙌
Mama ako alikuzaa kupitia kiungo gani we nyau? kabla ya kufikiria kutukana Wanawake mfikirie kwanza Mama yako😏

Kua na Adabu na sehemu iliyokufanya ukawepo hapa Duniani

Jifunze kuheshimu wanawake☹️
 
Back
Top Bottom