MAISHA NA MAAJABU YAKE
[emoji818]Mmliki wa kampuni ya TECNO anatumia Iphone
[emoji818]Kiwanda cha kutengeneza mishumaa kinatumia umeme
[emoji818]Meneja wa kiwanda cha bia anakunywa soda
[emoji818]Aliyegundua pesa alikufa na madeni
[emoji818]Mpenz wako mpya kwa mwingine ni wa zamani
[emoji818]Aliyegundua simu (Alexander Bell) mama yake alikuwa kiziwi(jiulize aligundua ili kumpigia nani)
[emoji818]Kuna watu wameajiriwa ila wanafundisha wengine jinsi ya kujiajili
[emoji818]Baba mlevi apendi mwanae anywe pombe
[emoji818]anayekupa ushauri wa ndoa yeye mwenyewe imemshinda
[emoji818]Wachina wanatengeneza dawa za kuongeza makalio ila wao wapo kama lura
MAISHA NI SIMPLE USIPOJICHANGANYA
[HASHTAG]#2018moods[/HASHTAG]
[emoji818]Mmliki wa kampuni ya TECNO anatumia Iphone
[emoji818]Kiwanda cha kutengeneza mishumaa kinatumia umeme
[emoji818]Meneja wa kiwanda cha bia anakunywa soda
[emoji818]Aliyegundua pesa alikufa na madeni
[emoji818]Mpenz wako mpya kwa mwingine ni wa zamani
[emoji818]Aliyegundua simu (Alexander Bell) mama yake alikuwa kiziwi(jiulize aligundua ili kumpigia nani)
[emoji818]Kuna watu wameajiriwa ila wanafundisha wengine jinsi ya kujiajili
[emoji818]Baba mlevi apendi mwanae anywe pombe
[emoji818]anayekupa ushauri wa ndoa yeye mwenyewe imemshinda
[emoji818]Wachina wanatengeneza dawa za kuongeza makalio ila wao wapo kama lura
MAISHA NI SIMPLE USIPOJICHANGANYA
[HASHTAG]#2018moods[/HASHTAG]