Huu ndio uwanja wa fainali Azam Sports Federation Cup mjini Dodoma

Hii pcha ya zamani sana, pitch ya jamhuri ni nzuri sana kuliko inavyoonekana kwenye picha.
 
support ni jambo la muhimu sana inasikitisha kuona baadhi yetu hawako tayari mchezo huu kuchezwa makao makuu ya TZ tusupport baadhi ya mambo jamani.
 
Ila fitna imeanza hiyo moja naiona mbao ikipata maookez makubwa dodoma na maandaliz murua toka azam yanga na tff ya malinzi kila laheri kwao
 
Waliomchagua Malinzi Sahivi wapige magoti na kutubu kwa Mungu..
A silly President..
Yani nilikuwa namuangalia kwenye Tarifa ya habari sahivi nilitaka hata kutapika
 
Rais wa Tff Jamal Malinzi acha chuki katika soka ,hasa kuichukia Timu ya Simba...mbona habri unayotoa unajichanganya ....mara umesema mtapanga uwanja kupitia droo ...mara uwanja wa taifa unatakiwa kufanyiwa maengenezo makubwa ......mara fainali ikachezewe uwanja wa jamhuri Dodoma eti kwasababu serikali yenyewe imeanza mchakato wa kuhamia huko ..sawa lakini hili neno la kusema unataka kubalance timu kwamba....Dar simba ni nyumbani kwahiyo mchezo wa fainali hauwezi kuchezwa huko...
Hakika kheri ya kipindi cha Ndolanga kuliko ujinga anaofanya Jamal Malinzi ....hunaonesha wazi unachuki binafsi.....soka haliwezi kuendelea kwa kuendekeza ujinga huu..
 
Hata kama ni wivu wa kuona makao makuu yakienda Dodoma sio kwa kiasi hiki cha chuki
Uwanja wa Jamhuri ni mzuri tu tena sana tu
Hiyo picha ya miaka fulani hivi kabla ya marekebisho makubwa yaliyofanywa wakati wa maandalizi ya sherehe za kitaifa zilizofanyika uwanjani hapo
Acheni uzandiki wenu uwanja wa jamhuri Dodoma ni mzuri na ni wa kisasa kabisa
 
Kweli TFF kuna tatizo mnaacha viwanja vizuri kisa kuichukia simba mbona yanga walishawahi omba timu ikatoka mkoani ikacheza uwanja wa taifa na walikubali ilikuwa maji2 kama sikosei ila kwa simba mnaona shida.Malinzi Mungu anakuona tena akuone zaidi maana sijui una roho gani wee baba mhaya.
 
Wana Simba kachezeni neutral ground mnaogopa nini?! Dodoma ni katikati ya Dar na Mwz hivyo kila timu ifanye gharama
 
Ushauri: Simba na Yanga zihamie Dodoma nazo hata mkitaka bahari nayo hamisheni.maana huku ni kulazimisha maji kupanda mlima.
 
Sasa kwani washabiki wa simba wako Dar tu? Huyu baba sijui yukoje.Hata vyura wakienda Dom, Lazima wapigwe tu.Simba watafurika na Mbao watakuwa wageni tu hapo Dom.
 
Ila fitna imeanza hiyo moja naiona mbao ikipata maookez makubwa dodoma na maandaliz murua toka azam yanga na tff ya malinzi kila laheri kwao
Simba Dodoma ni kama nyumbani, hapo mbao ndio wameingizwa chakike!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…