Omari Issa
Senior Member
- Jul 26, 2012
- 168
- 45
Nimelazmka kufungua uzi huu ili tupeane ufahamu na uzoefu ktk mas'ala ya HESLB loan allocation na Chuo.
Ndg. zangu FIRST YEARS suala la "disbursement" ya mkopo toka HESLB haliangalii "Chuo ulichochagulia" (nitatolea maelezo) isipokuwa inaangalia DEGREE PROGRAMMES uliyochaguliwa nayo, uhitaji wako wa mkopo, hali zako kiuchumi na kijamii.
Kwa mfano wanaweza kusema BED programmes zote vyuo vyote tunawapa 70% (ambayo ni sawa na 500000 kwa mwaka kwa mfano) hii hata ukienda KAMPALA UNIVERSITY ambako ada zao ni xawa na 5,000,000 (kwa mwaka) bado asilimia za bodi zitabaki zilezile. Kwa iyo apa ieleweke wazi tu kuwa mtu yeyote chuo chochote anaweza pangiwa mkopo wowote kulingana na degree program huksika.
Katu usije ukajaribu kuhama chuo pindi jina lako la mkopo limetoka ktk chuo fulani. Hama chuo mara tu majina ya T.C.U yanapotoka kabla hayajapelekwa HESLB.
Usisaini mkopo pindi unapokuja chuoni kwako kisha uka~apply transfer. Utahamishwa na TCU but bodi ni lazma uilipe asilimia zile ulizokula ktk chuo hiko ndpo uhame
Ndg. zangu FIRST YEARS suala la "disbursement" ya mkopo toka HESLB haliangalii "Chuo ulichochagulia" (nitatolea maelezo) isipokuwa inaangalia DEGREE PROGRAMMES uliyochaguliwa nayo, uhitaji wako wa mkopo, hali zako kiuchumi na kijamii.
Kwa mfano wanaweza kusema BED programmes zote vyuo vyote tunawapa 70% (ambayo ni sawa na 500000 kwa mwaka kwa mfano) hii hata ukienda KAMPALA UNIVERSITY ambako ada zao ni xawa na 5,000,000 (kwa mwaka) bado asilimia za bodi zitabaki zilezile. Kwa iyo apa ieleweke wazi tu kuwa mtu yeyote chuo chochote anaweza pangiwa mkopo wowote kulingana na degree program huksika.
Katu usije ukajaribu kuhama chuo pindi jina lako la mkopo limetoka ktk chuo fulani. Hama chuo mara tu majina ya T.C.U yanapotoka kabla hayajapelekwa HESLB.
Usisaini mkopo pindi unapokuja chuoni kwako kisha uka~apply transfer. Utahamishwa na TCU but bodi ni lazma uilipe asilimia zile ulizokula ktk chuo hiko ndpo uhame