MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Endapo Simba itashinda usiku wa leo, itajihakikishia alama 2.5, hivyo ukijumlisha na alama ilizo nazo kwa sasa, 28 + 2.5 = 30.5 hivyo itamrudisha juu ya Yanga kwa alama 1.5
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
0.5✅View attachment 3102882View attachment 3102880
Endapo Simba itashinda usiku wa leo, itajihakikishia alama 2.5, ❌hivyo ukijumlisha na alama ilizo nazo kwa sasa, 28 + 2.5 = 30.5 hivyo itamrudisha juu ya Yanga kwa alama 1.5
0.5 × 5 = 2.50.5✅
sio 2.5 sahihi ni 0.5 hivyo simba atakua na 28.5View attachment 3102882View attachment 3102880
Endapo Simba itashinda usiku wa leo, itajihakikishia alama 2.5, hivyo ukijumlisha na alama ilizo nazo kwa sasa, 28 + 2.5 = 30.5 hivyo itamrudisha juu ya Yanga kwa alama 1.5
Kichaka kimevamiwa na majangili 😀🔥🔥🔥Kichaka kinawaka moto 🔥 🔥 🔥 🔥
Labda ishinde njaaEndapo Simba itashinda usiku
Zidisha kwa coefficient ya mwaka huu mkuu ambayo ni 5sio 2.5 sahihi ni 0.5 hivyo simba atakua na 28.5
😀😀😀Labda ishinde njaa
Mbumbumbu kweli, unaelekezwa unabishasio 2.5 sahihi ni 0.5 hivyo simba atakua na 28.5
🦁 RoarsLabda ishinde njaa
Kabla ya makombe, mna medali za CAF?Mkimaliza huu upuuzi halafu tuwekee orodha ya makombe ya africa kwenye hizo timu zenu mbili!
Upotoshaji upi?Utopolo mmekomalia upotoshaji na sijajua dhumuni hasa ni lipi?
Uto ni underdog itaendelea kuwa hivyo.Kichaka kinawaka moto 🔥 🔥 🔥 🔥
tuzidishe dizeli kichaka kibaki jangwa au tuwanee huruma tu kwakweli...wakikosa la kusema tutapooza mjiniKichaka kinawaka moto 🔥 🔥 🔥 🔥
Izo Link zinatoka baada ya kufunzu makundi? au baada ya team kufuzu hatua ya robo fainali?Upotoshaji upi?
Kila hatua zinaji auto update, kuingia tu makundi Yanga tayari ni alama 1 (assumption kwamba itamaliza wa mwisho kundini) 1×5=5Izo Link zinatoka baada ya kufunzu makundi? au baada ya team kufuzu hatua ya robo fainali?