Huu ndiyo muonekano wa soko jipya la Kariakoo

Huu ndiyo muonekano wa soko jipya la Kariakoo

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Kariakooo2.jpg

KARIAKOO.jpg

KARIAKOO VIZIMBA.jpg

KARIAKOO NDANI.jpg

KARIAKOO 2.jpg

Kariakoo 8.jpg
 
Kila manispaa ya Dar - Kigamboni, Kinondoni, Temeke, Ubungo, na Ilala yenyewe iwe na soko na maeneo ya biashara aina hiyo kupunguza mlundikano wa watu sehemu moja.
 
Kila manispaa ya Dar - Kigamboni, Kinondoni, Temeke, Ubungo, na Ilala yenyewe iwe na soko na maeneo ya biashara aina hiyo kupunguza mlundikano wa watu sehemu moja.
Sasa mlundamano sindo pesa zenyewe na mijizi unataka ikose maokoto?.
 
Kongole kwa mheshimiwa Raisi kwa kuendelea kutunza kumbukumbu na heshima ya msanifu majengo wa kwanza mzawa, marehemu Beda Jonathan Amuli.
 
Back
Top Bottom