the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
Duuuh, wewe unaweza kutumia njia hiyo?Njia za kutafuta pesa ni nyingi ,wewe Baki na njia zako
Imagine mkuu, na siku moja ndiyo tutakuwa wazee hahahaha halafu wazee wenzetu ndiyo watakuwa hawaHao ni wapumbavu na uchawa ushaingia hadi kwenye njia ya kupumulia aiseeeee.....☹️
Rubbish kabisa, eti hawa nao ni wababa na waume za watu..... aibu ya taifa hii...😕
Hizo sura zao zinaonyesha ni mataahiraWakuu nimeona Msanii Stan Bakora akiwa na mwijaku wanaigiza kama wamepatwa na kichaa huku wanagalagala chini, lengo likiwa ni kusheherekea miaka 48 ya CCM.
Soma pia: Pre GE2025 - Wasanii wanahamasisha vijana kushiriki UVCCM marathon, ila kwenye baadhi ya mambo mfano kutekwa kwa raia wapo kimya
Je, huu ni ubunifu au kujitoa akilia?
View attachment 3225832
Hapana Mimi siyo influencer,Mimi wale wanaolinda heshima ya kiume Kwanza.Duuuh, wewe unaweza kutumia njia hiyo?
HIKI NI KIKUNDI CHA WAPUMBAVUWakuu nimeona Msanii Stan Bakora akiwa na mwijaku wanaigiza kama wamepatwa na kichaa huku wanagalagala chini, lengo likiwa ni kusheherekea miaka 48 ya CCM.
Soma pia: Pre GE2025 - Wasanii wanahamasisha vijana kushiriki UVCCM marathon, ila kwenye baadhi ya mambo mfano kutekwa kwa raia wapo kimya
Je, huu ni ubunifu au kujitoa akilia?
View attachment 3225832
Hawajaigiza kama wamepatwa na kichaa bali Wana KichaaWakuu nimeona Msanii Stan Bakora akiwa na mwijaku wanaigiza kama wamepatwa na kichaa huku wanagalagala chini, lengo likiwa ni kusheherekea miaka 48 ya CCM.
Soma pia: Pre GE2025 - Wasanii wanahamasisha vijana kushiriki UVCCM marathon, ila kwenye baadhi ya mambo mfano kutekwa kwa raia wapo kimya
Je, huu ni ubunifu au kujitoa akilia?
View attachment 3225832
ila unawa support hao kufanya hivyo?Hapana Mimi siyo influencer,Mimi wale wanaolinda heshima ya kiume Kwanza.
Sisapoti ila ni sehemu wanapopatia riziki.ila unawa support hao kufanya hivyo?
Wakuu nimeona Msanii Stan Bakora akiwa na mwijaku wanaigiza kama wamepatwa na kichaa huku wanagalagala chini, lengo likiwa ni kusheherekea miaka 48 ya CCM.
Soma pia: Pre GE2025 - Wasanii wanahamasisha vijana kushiriki UVCCM marathon, ila kwenye baadhi ya mambo mfano kutekwa kwa raia wapo kimya
Je, huu ni ubunifu au kujitoa akilia?
View attachment 3225832
Rubbish tupu. CCM imetengeneza vijana wa hovyo sanaWakuu nimeona Msanii Stan Bakora akiwa na mwijaku wanaigiza kama wamepatwa na kichaa huku wanagalagala chini, lengo likiwa ni kusheherekea miaka 48 ya CCM.
Soma pia: Pre GE2025 - Wasanii wanahamasisha vijana kushiriki UVCCM marathon, ila kwenye baadhi ya mambo mfano kutekwa kwa raia wapo kimya
Je, huu ni ubunifu au kujitoa akilia?
View attachment 3225832
Kesho huyu unamkuta ni mkuu wa wilaya au mkuu wa mkoa na mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya/mkoa.Wakuu nimeona Msanii Stan Bakora akiwa na mwijaku wanaigiza kama wamepatwa na kichaa huku wanagalagala chini, lengo likiwa ni kusheherekea miaka 48 ya CCM.
Soma pia: Pre GE2025 - Wasanii wanahamasisha vijana kushiriki UVCCM marathon, ila kwenye baadhi ya mambo mfano kutekwa kwa raia wapo kimya
Je, huu ni ubunifu au kujitoa akilia?
View attachment 3225832
Kama waziri wa afya aligalagala kwenye vumbi hao ni nani hadi wakatae kupakwa matope!Wakuu nimeona Msanii Stan Bakora akiwa na mwijaku wanaigiza kama wamepatwa na kichaa huku wanagalagala chini, lengo likiwa ni kusheherekea miaka 48 ya CCM.
Soma pia: Pre GE2025 - Wasanii wanahamasisha vijana kushiriki UVCCM marathon, ila kwenye baadhi ya mambo mfano kutekwa kwa raia wapo kimya
Je, huu ni ubunifu au kujitoa akilia?
View attachment 3225832