Pre GE2025 Huu ndiyo ubunifu wa wasanii au ni kujitoa akili?

Pre GE2025 Huu ndiyo ubunifu wa wasanii au ni kujitoa akili?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wasanii wengi wa bongo wana UDUNYA ,USHAMBA NA WOGA,wanafikiri bila kujikomba komba kwa ccm hawawezi kufikia malengo yao,
Hii wanachokifanya hao ni kujidhalilisha tu kuna wakati bora ukose kuliko mwanao aone unatafuta kwa kujifanya mwendawazimu
 
Back
Top Bottom