The-unknown
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 1,228
- 1,447
Wasanii wengi wa bongo wana UDUNYA ,USHAMBA NA WOGA,wanafikiri bila kujikomba komba kwa ccm hawawezi kufikia malengo yao,
Hii wanachokifanya hao ni kujidhalilisha tu kuna wakati bora ukose kuliko mwanao aone unatafuta kwa kujifanya mwendawazimu
Hii wanachokifanya hao ni kujidhalilisha tu kuna wakati bora ukose kuliko mwanao aone unatafuta kwa kujifanya mwendawazimu