Huu ndiyo ujumbe wa mwisho wa Emiliano Sala kabla ya kupotea angani na ndege ‘Nimejawa hofu, ndege inaelekea kuanguka’

Huu ndiyo ujumbe wa mwisho wa Emiliano Sala kabla ya kupotea angani na ndege ‘Nimejawa hofu, ndege inaelekea kuanguka’

Yaani na mahela yote hayo akapanda ndege ambayo inatoka shirika la ndege zisizoaminika. Angepanda hata commercial tu. Pia inasemekana mwenyewe alikuwa hataki kuhama team kwenda huko. Sema uongozi ukawa umeshaamua. R.i.p Salah na Pilot ,maana mpaka leo masaa 48 hawajapatikana na hii barafu. Matumaini Ya kuwapata wazima ni "Slim"
Ndio hivyo ya Mungu mengi. Tunaweza sema Genk ingekubali dau la Cardif kwa Samata bas yasingemkuta haya.
 
Yaani na mahela yote hayo akapanda ndege ambayo inatoka shirika la ndege zisizoaminika. Angepanda hata commercial tu. Pia inasemekana mwenyewe alikuwa hataki kuhama team kwenda huko. Sema uongozi ukawa umeshaamua. R.i.p Salah na Pilot ,maana mpaka leo masaa 48 hawajapatikana na hii barafu. Matumaini Ya kuwapata wazima ni "Slim"
Alikodi ndege Binafsi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu R.I.P tena! waokoji bado wana matumaini bado
R.I.P
GBWA-20190124202531.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani bora hata wangeona debris za ndege, nahisi debris zimeganda huko chini na weather hii. Haziwezi hata kuelea. So sad,im thinking of their families.
 
Back
Top Bottom