Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Wakuu huwa tunaongea kimasihara hapa na kuiponda Simba, kumponda mwekezaji Mo Dewji na kimuita majina ya ajabu.
Wacha-mbuzi uchwara nao utawasikia wakiiponda Simba na kuiita timu ya hovyo.
Lakini kiukweli Simba japo haipo kwenye kiwango chake cha ubora, bado ni timu kubwa sana Afrika, tazama msimamo wa makundi CAFCL.
Club zote zilizo katika nafasi ya kwanza na ya pili zinatoka katika nchi za kiarabu isipokuwa club mbili tu, Simba na Mamelodi Sundows ya Africa Kusini.
Kwa wasiojua soka la Afrika vizuri, mataifa ya Kiarabu ni mtaifa tajiri sana na wachezaji wake hawaendi kucheza ligi za Ulaya kama mataifa ya Afrika Magharibi.
Wacha-mbuzi uchwara nao utawasikia wakiiponda Simba na kuiita timu ya hovyo.
Lakini kiukweli Simba japo haipo kwenye kiwango chake cha ubora, bado ni timu kubwa sana Afrika, tazama msimamo wa makundi CAFCL.
Club zote zilizo katika nafasi ya kwanza na ya pili zinatoka katika nchi za kiarabu isipokuwa club mbili tu, Simba na Mamelodi Sundows ya Africa Kusini.
Kwa wasiojua soka la Afrika vizuri, mataifa ya Kiarabu ni mtaifa tajiri sana na wachezaji wake hawaendi kucheza ligi za Ulaya kama mataifa ya Afrika Magharibi.