Huu ndiyo Ukubwa wa Simba: Timu 8 zitakazoenda robo fainali CAFCl, zote zinatokea nchi za Kiarabu isipokuwa Simba na Mamelodi

Acha kutudanganya asilimia 90 ya timu ya taifa ya Morocco wachezaji wao wanacheza Ligi za Europe rekebisha hiyo paragraph yako ya mwisho, Worldcup uliyopita wachezaji watatu tu ndo walikuwa wanatokea Ligi za Africa kwenye team Yao akiwemo Yule beki Tatu WA Wydad anaitwa Allah..Tena wengi wao hawajazaliwa Morocco...
View attachment 2547906View attachment 2547907
 
Well said,na hiyo ni pale jina lao la utopolo linaposadifu
 
Wakija nistue,hawa utopolo hayajawahi kuwa na akili
 
Vuka kwanza ndo tuanze jua utakutana na nani
 
Hayaa
 

Attachments

  • FrHUoyQXoAod1FE.jpg
    30.6 KB · Views: 4
Acha uongo Morroco national team kuna mchezaji mmoja tu beki wa WYDAD anaecheza national team
 
Nyie mtaingia lini Makundi ya klabu bingwa?
Young Africans ndio timu ya kwanza hapa Tanzania kuingia makundi. Ilikuwa 1998, mechi ya kufuzu alimtwanga Coffee ya Ethiopia (wakati huo ilikuwa coffee kweli kweli) magoli 6-1 hapo shamba la Bibi. Mechi ya mwanzo kule Ethiopia walifungana 2-2
Kocha alikuwa mzawa (nadhani ni marehemu kwa sasa). Baada ya kuivusha kocha akanyang'anywa timu akapewa mgeni.
Kilichowakuta huko Uto watahadithia wenyewe.
 

Na Simba asemeje? Yeye aliingia fainali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…