Huu ndiyo ukweli sabato inaashiria mwisho ya uumbaji za zamani, jumapili siyo sabato bali ni ishara ya mwanzo ya uumbaji mpya!

Huu ndiyo ukweli sabato inaashiria mwisho ya uumbaji za zamani, jumapili siyo sabato bali ni ishara ya mwanzo ya uumbaji mpya!

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Tumsifu Yesu Kristo

Moderator tafadhali Uzi huu usiunganishe kwingineko


Wadau hamjamboni nyote?

Wakristo tokea mwanzoni waliabudu jumapili ambayo ni ishara ya uumbaji ikiachana na sabato iliyoashiria uumbaji wa zamani

Naweka ushahidi kuhusu Jumapili huo kama ifuatavyo

Kwamba Yesu Kristo

Alifufuka kutoka wafu (Marko 16:9).

Alikutana na wanafunzi wake (Marko 16:9)

Alikutana na na wanafunzi wake maeneo mbalimbali (Marko. 16:9-11; Mathayo. 28:8-10; Luka 24:34; Marko. 16:12-13; Yohana. 20:19-23).

Aliwabariki wanafunzi wake (Yohana 20:19).

Akiwapatia wanafunzi wake kipawa cha roho Mtakatifu (Yohana 20:22).

Aliwabariki na kuwaruhusu wanafunzi wake kuhubiri injili: (Yohana 20:21; Marko 16:9-15).

Alipata mbinguni na kuketi mkono wa kuume wa Baba(Yohana 20:17; Waefeso 1:20).

Injili ya Yesu Kristo ilihubiriwa kwa mara ya kwanza (Luka. 24:34).

Alifundisha maandiko matakatifu Kwa wanafunzi wake (Luka. 24:27, 45).

Roho Mtakatifu alishuka siku ya pentekosto ( matendo ya Mitume ).

Wakristo walikutana na kuabudu (matendo ya Mitume 20:6-7; 1 Wakorinto 16:2).

Tangu siku hizo, Wakristo wengi sana wamekutana ili kuabudu siku ya kwanza ya juma. Wanafanya hivyo kwa heshima ya ufufuo wa Mwokozi wao. Kristo alikuwa kaburini siku ya sabato na alifufuka kama mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu siku ya kwanza.

Usiku mwema wenye baraka tele Ndugu zangu
 
Ndugu naona umefeli kwenye kujenga vizuri hoja yako.
 
Tumsifu Yesu Kristo

Moderator tafadhali Uzi huu usiunganishe kwingineko


Wadau hamjamboni nyote?

Wakristo tokea mwanzoni waliabudu jumapili ambayo ni ishara ya uumbaji ikiachana na sabato iliyoashiria uumbaji wa zamani

Naweka ushahidi kuhusu Jumapili huo kama ifuatavyo

Kwamba Yesu Kristo

Alifufuka kutoka wafu (Marko 16:9).

Alikutana na wanafunzi wake (Marko 16:9)

Alikutana na na wanafunzi wake maeneo mbalimbali (Marko. 16:9-11; Mathayo. 28:8-10; Luka 24:34; Marko. 16:12-13; Yohana. 20:19-23).

Aliwabariki wanafunzi wake (Yohana 20:19).

Akiwapatia wanafunzi wake kipawa cha roho Mtakatifu (Yohana 20:22).

Aliwabariki na kuwaruhusu wanafunzi wake kuhubiri injili: (Yohana 20:21; Marko 16:9-15).

Alipata mbinguni na kuketi mkono wa kuume wa Baba(Yohana 20:17; Waefeso 1:20).

Injili ya Yesu Kristo ilihubiriwa kwa mara ya kwanza (Luka. 24:34).

Alifundisha maandiko matakatifu Kwa wanafunzi wake (Luka. 24:27, 45).

Roho Mtakatifu alishuka siku ya pentekosto ( matendo ya Mitume ).

Wakristo walikutana na kuabudu (matendo ya Mitume 20:6-7; 1 Wakorinto 16:2).

Tangu siku hizo, Wakristo wengi sana wamekutana ili kuabudu siku ya kwanza ya juma. Wanafanya hivyo kwa heshima ya ufufuo wa Mwokozi wao. Kristo alikuwa kaburini siku ya sabato na alifufuka kama mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu siku ya kwanza.

Usiku mwema wenye baraka tele Ndugu zangu
Sisi Wakatoliki Tunasali Kila siku!
Huwa husikiagi Kengele??
 
Back
Top Bottom