Black ma colour
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 733
- 663
Ndugu zangu poleni na majukumu mazito mlonayo katika kuijenga nchi yetu.
Kwa wanafunzi wote na wazazi hongereni na poleni sana kwa matokeo yalotolewa na baraza.
wapendwa katika upeo wangu mdogo nlonao nimechunguza kwa umakini matokeo yaliyotolewa ya 4m 6 nimebaini kuna ufelishwaji wa wazi katika somo la general studies (g.s) , wakuu ibainike kuwa ufaulu wa g.s ni somo muhimu sana katika udahili wa wanafunzi wa elimu ya juu.
napata shaka kubwa sana kuamini kuwa wanafunzi wameshindwa kufaulu kabisa somo hilo ihali ni somo la kutumia knowledge katika kulijibu wala huhitaji kukesha darasani ucku kucha ukilisoma.
my view:
1:Baraza (necta) wameamua kuwafelisha ili wanafunzi wasiweze kudahiliwa na TCU katika elimu ya juu.
2:Baraza (necta) wanataka wanafunzi warudie mtihani wa g.s ili kupoteza mda kwa wanafunzi ili waweze kufaulu
3:Baraza (necta) wanataka wanafunzi wakasome diploma.
4:Hii ni hasira ya baraza baaada ya kuamrishwa na serekari kustandardize matokeo ya form six na form four.
5:vyuo vikubwa vitapandisha marks za udahili katika vyuo vyao hii ni kutokana na kuhofia kupata wanafunz wabovu especially UDSM, SUA , MUHAS N.K
NOTE :
Hii itawaathiri wale wenye principal mbili tu yaani E, E coz watakuwa wana point 2.0 so hawataweza kudahiliwa na TCU coz hawatakuwa na point 2.5
.
samahani kwa usumbufu wowote utakao jitokeza ama kumkwaza mtu.
REMEMBER.
According to TCU ili mwanafunzi achaguliwe kujiunga na elimu ya juu lazima awe na principal mbili yaani E,E alafu lazima awe na point not less than 2.5 which mean that lazima uwe umefaulu G.S which have 0.5 which make total of 2.5 from 2 principal.
Kwa wanafunzi wote na wazazi hongereni na poleni sana kwa matokeo yalotolewa na baraza.
wapendwa katika upeo wangu mdogo nlonao nimechunguza kwa umakini matokeo yaliyotolewa ya 4m 6 nimebaini kuna ufelishwaji wa wazi katika somo la general studies (g.s) , wakuu ibainike kuwa ufaulu wa g.s ni somo muhimu sana katika udahili wa wanafunzi wa elimu ya juu.
napata shaka kubwa sana kuamini kuwa wanafunzi wameshindwa kufaulu kabisa somo hilo ihali ni somo la kutumia knowledge katika kulijibu wala huhitaji kukesha darasani ucku kucha ukilisoma.
my view:
1:Baraza (necta) wameamua kuwafelisha ili wanafunzi wasiweze kudahiliwa na TCU katika elimu ya juu.
2:Baraza (necta) wanataka wanafunzi warudie mtihani wa g.s ili kupoteza mda kwa wanafunzi ili waweze kufaulu
3:Baraza (necta) wanataka wanafunzi wakasome diploma.
4:Hii ni hasira ya baraza baaada ya kuamrishwa na serekari kustandardize matokeo ya form six na form four.
5:vyuo vikubwa vitapandisha marks za udahili katika vyuo vyao hii ni kutokana na kuhofia kupata wanafunz wabovu especially UDSM, SUA , MUHAS N.K
NOTE :
Hii itawaathiri wale wenye principal mbili tu yaani E, E coz watakuwa wana point 2.0 so hawataweza kudahiliwa na TCU coz hawatakuwa na point 2.5
.
samahani kwa usumbufu wowote utakao jitokeza ama kumkwaza mtu.
REMEMBER.
According to TCU ili mwanafunzi achaguliwe kujiunga na elimu ya juu lazima awe na principal mbili yaani E,E alafu lazima awe na point not less than 2.5 which mean that lazima uwe umefaulu G.S which have 0.5 which make total of 2.5 from 2 principal.