Huu ni ujinga wa kiwango cha lami, badala ya kuwaunga mkono wote ili wazidi kusonga kimataifa, sisi tunakaa kushabikia mipasho na mambo ambayo hayataunufaisha mziki wetu na kuusongesha mbele kimataifa.
Ni upuuzi mtupu kwa wote hao (KIBA na MONDI na wanaoshabikia sijui uteam)