Mwanafikra huru
Senior Member
- Jan 17, 2013
- 141
- 18
Ikiwa walimu hawakubaliani na matokeo haya kuendelea kukaa ma offcen tafsri yake ni nini?
Je wana kubaliana na matokeo haya?
I kiwa wana mgomo baridi hasara ya wanafunzi wanao chora mazombi ni kwa serikali au kwa wananchi na raia wasio kuwa na uwezo wa kuwapeleka watototo wao shule za private?
Iweje mwalimu ukubali kufanya kazi ambayo ufanisi wake hauonekani?
Na si kweli kama serkli haina pesa za kughalimika shule hizi zote ila mnajua kama serikali yetu inaenda kwa kuamshwa na kusukumwa
leo Manager wa Tanroad ana tembelea V8 wakuu wa Mikoa V8 wakurugezi katika halimashauli V8 makatibu wakuu mawaziri na manaibu mawaziri V8
walim mnasubili nini huko ma offecn mmezidi kulala na nyinyi ni wakati huu wa kuonesha ushajaa wenu bora ufukuzwe kwa kutetea wanafunzi waache kuchora mazombi mara 100 kuliko kukaa maiffen na mgomo wenu chai huo
Cc
¤RAISI
¤waziri wa Elimu
¤Walimu
¤WANANCHI
Je wana kubaliana na matokeo haya?
I kiwa wana mgomo baridi hasara ya wanafunzi wanao chora mazombi ni kwa serikali au kwa wananchi na raia wasio kuwa na uwezo wa kuwapeleka watototo wao shule za private?
Iweje mwalimu ukubali kufanya kazi ambayo ufanisi wake hauonekani?
Na si kweli kama serkli haina pesa za kughalimika shule hizi zote ila mnajua kama serikali yetu inaenda kwa kuamshwa na kusukumwa
leo Manager wa Tanroad ana tembelea V8 wakuu wa Mikoa V8 wakurugezi katika halimashauli V8 makatibu wakuu mawaziri na manaibu mawaziri V8
walim mnasubili nini huko ma offecn mmezidi kulala na nyinyi ni wakati huu wa kuonesha ushajaa wenu bora ufukuzwe kwa kutetea wanafunzi waache kuchora mazombi mara 100 kuliko kukaa maiffen na mgomo wenu chai huo
Cc
¤RAISI
¤waziri wa Elimu
¤Walimu
¤WANANCHI