The indigenous
JF-Expert Member
- May 14, 2018
- 312
- 143
Akina Kagere, Boco waliopambania timu sasa ivi wanaonekana takataka, simba wote wanamuimba Morrison usiku na mchana
Hans Pope,Manara na Magori ni kirusi cha Soka la Bongo,na pia sioni usomi na credibility ya MO katika hili amekubali kuendeshwa kama gari bovu na hao Waswahili.
Kuna wakati inabidi tuachane na ushabiki wa wa hizi timu za kariakoo na kukosoa bila ushabiki
Kinachoendelea ni ushamba Na hakipaswi kabisa kushabikiwa.
Simba kujaribu kumchukua Morrison ni ushamba sana.
Yanga kumchukua CEO wa Simba ushamba pia sana, sana.
Hii vita ya kukomoana ushamba mtupu, haisaidii lolote kwenye mpira, sana sana linavunja moyo.
Wachezaji ambao ni decent na loyal kwa timu wanaona kumbe kuhamahama hizi timu ndo unapata hela unayotaka.
Tukemee huu ushamba.
Kama Yanga walivokua wakimuimba na Kumtukuza Morrison baada ya 08 MarchUjinga sana, badala ya kufikiria kupambana na TP Mazembe, Al ahly, Zamalek, wanaishia kulumbana tu, timu zimejaa ujinga ujinga tu
Unadhan ni Senzo tu alianza kujiuzulu akawa hana pa kwenda ndo Yanga wakamchukuaMkuu kama Senzo kajiuzulu, kuna ubaya gani Yanga kumwajiri wakiamini atawasaidia? Simba wanazingua, wanafanya ujinga na kwa kuwa wamejazana tff wameshindwa hata kuamua kesi ya mkataba wa Morrison. We unadhani kuna utata gani kwenye suala la Morrison? Simba wamejitangaza wao ni miamba, wanaweza kufanya lolote watakalo. Yanga hatutakubali kuburuzwa na mtoto wetu wenyeww
kwahiyo ushamba wa akina bocco upo wap?? hamjijui kama nyie ndo washamba??? mashabiki wote wa man united saiv wanamtaja sancho huo nao ni ushamba??? fikilini kabla ya kukosoa au mnahisi wachezaji waliopo simba hawapendwi bac morrison anapendwa sanaa?? Sio hivyo ila ni kama tajili tu anapesa kibao ila anataman kile ambacho hana [emoji23][emoji23]Akina Kagere, Boco waliopambania timu sasa ivi wanaonekana takataka, simba wote wanamuimba Morrison usiku na mchana
Tukubaliane kwanza morrison ni mchezaji mbovu??? pili simba na yanga wangekaa mezani biashara ya morrison ingefanyika?? usihukumu kitu bila kukiangalia kwa pande zoteHans Pope,Manara na Magori ni kirusi cha Soka la Bongo,na pia sioni usomi na credibility ya MO katika hili amekubali kuendeshwa kama gari bovu na hao Waswahili.
Cha ajabu hao walioshauri timu ziendeshwe kprofessional kama MO ndo wanaofanya upuuzUjinga sana, badala ya kufikiria kupambana na TP Mazembe, Al ahly, Zamalek, wanaishia kulumbana tu, timu zimejaa ujinga ujinga tu
Msitoe hoja kimihemuko bila facts waziri mwakyembe hawezi kuzuia usajili wowote ukiwa tu ni halali na hauvunji sheria yoyoteMwakyembe kama waziri mwenye dhamana ya michezo hapa nchini amekaa kimya tuu, huku tim 2 'kubwa' na zenye washabiki wengi zaidi hapa nchini zikikomoana na kukomeshana, hiii si sawa hatakidogo, mwakyembe na wizara yake wanatakiwa kutoa 'neno' otherwise hii ni hujuma kwa maendeleo ya mpira, na kwa style hii maendeleo ya mpira wetu yanazidi kurudi nyuma……...wizara ya kazi nayo ipo wapi, futa hizo 'work permit' za senzo na huyo mvuta bange, wanapoelekea watahatarisha Amani nchi….over!