JITU BANDIA
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,868
- 6,453
Nimeukuta umejiotea pembeni ya nyumba... Je ni dawa!?... Inatumika kuponya nini!? 👇
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakalia hiyoođź”±Mpapai. Unatoa mapapai.
Imekaa kams kivumbasi.Nimeukuta umejiotea pembeni ya nyumba... Je ni dawa!?... Inatumika kuponya nini!? [emoji116]
Huo sio kivumbasi boss hata kwa mbali haifananiImekaa kams kivumbasi.
Kama ndiwe bas ni dawa nzuri ya tumbo, gesi.
Ni mti gani, tumsaidie.Huo sio kivumbasi boss hata kwa mbali haifanani
Yesi,ni mwosha Fedha huoHuo sio kivumbasi boss hata kwa mbali haifanani
Inaelekea unaijua miti mkuu...Kazi yake ni ipi mkuu!?Yesi,ni mwosha dedha huo
Hii ni dawa ya wachaga tu..ombo huwa tunaweka kwenye nya hasa mchemsho au supu...ila ni dawa nzuri sana ila usiinywe mara kwa mara.Ombo, ndio lile yule Mheshimiwa alienda kuchukua kule akisema ni dawa ya Corona.
Hilo lina tibu magonjwa mengi.
huo sijaupata fresh mkuu.Ni mti gani, tumsaidie.