Huu ni mti Gani!? Kazi yake ni ipi!?

Ombo, ndio lile yule Mheshimiwa alienda kuchukua kule akisema ni dawa ya Corona.

Hilo lina tibu magonjwa mengi.
 
Ombo, ndio lile yule Mheshimiwa alienda kuchukua kule akisema ni dawa ya Corona.

Hilo lina tibu magonjwa mengi.
Hii ni dawa ya wachaga tu..ombo huwa tunaweka kwenye nya hasa mchemsho au supu...ila ni dawa nzuri sana ila usiinywe mara kwa mara.

!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ