Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Zamani hii kumbe ilikuwa CRDB BABYInawezakubakia kuwa WCB tu, inatosha. Kama ilivyokua CRDB.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]zamani hii kumbe ilikuwa CRDB BABY
zamani hii kumbe ilikuwa CRDB BABY
Zamani hii kumbe ilikuwa CRDB BABY
HahahahhaZamani hii kumbe ilikuwa CRDB BABY
ni jokes tu mkuu
Mkuu Una hoja ya msingiNadhani huu ni muda muafaka sasa wa kubadili jina la Wasafi Classic Baby (WCB) ibaki tu Wasafi Classic au Wasafi Classic Family.
Kwa ukubwa alionao Diamond Platnumz kimuziki na kimafanikio sidhani kama ni sahihi yeye kuendelea kutumia neno "Baby" kama swagga fulani hizi za kinyamwezi . Hilo neno baby awaachie ma under ground yeye alipofikia aachane na hilo neno.
Kuita Wasafi Classic inatosha kabisa hilo neno baby kwa kweli kwa sasa aachane nalo kabisa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Zamani hii kumbe ilikuwa CRDB BABY
πππππππ
Crdb babyZamani hii kumbe ilikuwa CRDB BABY
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwa hzi comment zenu inaonekana weekend yenu imeenda poa sanaKwanini isiwe
"Wasafi Clasic Bandari" ili kifupi kibaki kuwa wcb hapo hapo akipigania maslahi ya bandari.
[emoji23]Zamani hii kumbe ilikuwa CRDB BABY
[emoji23] mna masihara raia wa TzKwanini isiwe
"Wasafi Clasic Bandari" ili kifupi kibaki kuwa wcb hapo hapo akipigania maslahi ya bandari.