lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Ushajiuliza kwa nini Tigo wameinunua Zantel, ila mpaka sasa Tigo wameamua kuliacha jina la Zantel hivyo hivyo.Nadhani huu ni muda muafaka sasa wa kubadili jina la Wasafi Classic Baby (WCB) ibaki tu Wasafi Classic au Wasafi Classic Family.
Kwa ukubwa alionao Diamond Platnumz kimuziki na kimafanikio sidhani kama ni sahihi yeye kuendelea kutumia neno "Baby" kama swagga fulani hizi za kinyamwezi . Hilo neno baby awaachie ma under ground yeye alipofikia aachane na hilo neno.
Kuita Wasafi Classic inatosha kabisa hilo neno baby kwa kweli kwa sasa aachane nalo kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zamani hii kumbe ilikuwa CRDB BABY
DuuuhZamani hii kumbe ilikuwa CRDB BABY
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Zamani hii kumbe ilikuwa CRDB BABY
Dah qqmkkZamani hii kumbe ilikuwa CRDB BABY
CRDB Ina kirefu chake.Inawezakubakia kuwa WCB tu ( bila kuwa na kirefu chake), inatosha. Kama ilivyokua CRDB Bank.
CRDB Ina kirefu chake.
Ni kama kuandika Barabara ya Nyerere Road.Unaelewa kwanini wanaandika CRDB wakati kwenye kirefu B inawakilisha Bank?
Kirefu ni kama kilishakufa imeamua kutembea na CRDB.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Zamani hii kumbe ilikuwa CRDB BABY
Ni kama kuandika Barabara ya Nyerere Road.
Kwa hiyo hizo herufi zipo kama urembo bila kirefu chake wala maana kamili?Kwa muktadha wa CRDB haiko hivyo, Kwa Sasa CRDB inasimama kama jina kamili la Benki.
Kwa hiyo hizo herufi zipo kama urembo bila kirefu chake wala maana kamili?
Zamani hii kumbe ilikuwa CRDB BABY
πππ[emoji81][emoji81]
Cooperative and Rural Development Bank BABY.
Akili yako haina akili[emoji81].
kuna watu mna matukio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zamani hii kumbe ilikuwa CRDB BABY