Huu ni muda sahihi wa kudai Katiba Mpya ya Tanzania

Huu ni muda sahihi wa kudai Katiba Mpya ya Tanzania

monde arabe

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2017
Posts
8,781
Reaction score
13,444
Husikeni na kichwa cha habar ndugu wasomaji.

Umewadia muda ambao Taifa la Tanzania linahitaji Katiba mpya na hapa ndipo ambapo kila mmoja anapaswa kuonyesha uzalendo wa kweli.

KWANINI TAIFA LA TANZANIA LINAHITAJI KATIBA MPYA?

Taifa la Tanzania linahitaji Katiba mpya kwa sababu iliyopoina mapungufu mengi sana kuanzia kwenye nyanja ya uchumi,elimu,siasa na afya pia.

Kama Taifa hatuna dira nzuri kwenye uwekezaji (uchumi)

Kwa muwekezaji mwenye akili timamu hawezi kuleta mtaji wake Tanzania kwa kuwa mazingira ya uwekezaji yanategemea ufahamu na utashi wa wanasiasa (watawala) ambao kimsingi hawafahamu lolote kuhusu uchumi.Muwekezaji anaweza kuwekeza mtaji wake Tanzania na baada ya mwezi mmoja mwanasiasa au mtawala anatengeneza sera mpya ambayo ni hatar kwa muwekezaji mfano kupandisha kodi na kuweka urasimu mwingi usiokuwa na tija kama alivyokuwa akifanya Magufuli.

Pia,kwenye elimu, siasa, ulinzi na afya napo bado kuna madudu mengi sana.Hakuna sera bayana zaidi ya kutegemea utashi wa wanasiasa. Kumbukeni kwenye uchaguzi wa mwaka 2019 na 2021. Kumbukeni kuhusu Issue ya Corvid-19 kwa hapa kwetu Tanzania. Kumbukeni issue ya tetemeko la Ardhi Bukoba (Kagera) Mh.Rais wa kipnd hicho ndugu John Magufuli alisema "tetemeko halikuletwa na serikali so, siwezi kutoa chakula" lkn,muda huohuo alitoa chakula na madawa kwa waathirika wa mafuriko kwa nchi jirani.

Kwa kifupi ni tunaishi kwenye Taifa ambalo hakuna mtu aliyesalama kutokana na aina ya katiba tuliyonayo.

Tunahitaji katiba mpya kwa kuwa ni hitaji la Taifa kwa nyakati tulizonazo na kama tutaendelea kupuuzia jambo hili tutegemee kuishuhudia hatar kubwa sana kuliko hatari yoyote iliyowahi kutokea.

Upo mwaka usiojulikana atapatikana mtawala kwa njia za panya kama alivyopatikana Magufuli na wabunge wake na kikundi hicho kitakuja kuua watu wengi ikiwa ni pamoja na kuharibu biashara za watu na mfumo wa maisha kwa ujumla.

Katiba mpya ndiyo dira na uelekeo wa wapi Taifa linaelekea.Tuungane wote kuhakikisha kuwa Taifa linapata Katiba mpya.
 
Husikeni na kichwa cha habar ndugu wasomaji
Umewadia muda ambao Taifa la Tanzania linahitaji Katiba mpya na hapa ndipo ambapo kila mmoja anapaswa kuonyesha uzalendo wa kweli.

KWANINI TAIFA LA TANZANIA LINAHITAJI KATIBA MPYA?

Taifa la Tanzania linahitaji Katiba mpya kwa sababu iliyopoina mapungufu mengi sana kuanzia kwenye nyanja ya uchumi,elimu,siasa na afya pia.

Kama Taifa hatuna dira nzuri kwenye uwekezaji (uchumi)
Kwa muwekezaji mwenye akili timamu hawezi kuleta mtaji wake Tanzania kwa kuwa mazingira ya uwekezaji yanategemea ufahamu na utashi wa wanasiasa (watawala) ambao kimsingi hawafahamu lolote kuhusu uchumi.Muwekezaji anaweza kuwekeza mtaji wake Tanzania na baada ya mwezi mmoja mwanasiasa au mtawala anatengeneza sera mpya ambayo ni hatar kwa muwekezaji mfano kupandisha kodi na kuweka urasimu mwingi usiokuwa na tija kama alivyokuwa akifanya Magufuli

Pia,kwenye elimu,siasa,ulinzi na afya napo bado kuna madudu mengi sana.Hakuna sera bayana zaidi ya kutegemea utashi wa wanasiasa.Kumbukeni kwenye uchaguzi wa mwaka 2019 na 2021.Kumbukeni kuhusu Issue ya Corvid-19 kwa hapa kwetu Tanzania. Kumbukeni issue ya tetemeko la Ardhi Bukoba (Kagera) Mh.Rais wa kipnd hicho ndugu John Magufuli alisema "tetemeko halikuletwa na serikali so, siwezi kutoa chakula" lkn,muda huohuo alitoa chakula na madawa kwa waathirika wa mafuriko kwa nchi jirani

Kwa kifupi ni tunaishi kwenye Taifa ambalo hakuna mtu aliyesalama kutokana na aina ya katiba tuliyonayo.

Tunahitaji katiba mpya kwa kuwa ni hitaji la Taifa kwa nyakati tulizonazo na kama tutaendelea kupuuzia jambo hili tutegemee kuishuhudia hatar kubwa sana kuliko hatar yoyote iliyowahi kutokea.Upo mwaka usiojulikana atapatikana mtawala kwa njia za panya kama alivyopatikana Magufuli na wabunge wake na kikundi hicho kitakuja kuua watu wengi ikiwa ni pamoja na kuharibu biashara za watu na mfumo wa maisha kwa ujumla.

Katiba mpya ndiyo dira na uelekeo wa wapi Taifa linaelekea.Tuungane wote kuhakikisha kuwa Taifa linapata Katiba mpya.

Pliz mods,naomba huu uwe ni uzi wa katiba mpya.

Kichwa cha habari kimekaa vizuri. Kwa hakika inahitajika katiba mpya sasa kuliko wakati mwingine wowote.
 
KWA SASA TAIFA LETU LINA MIRADI MINGI SANA AMBAYO BADO HAIKUMALIZIKA ILIYOKUWA NA MIKATABA MIGUMU INAYOUTAJI FEDHA NYINGI KWELI KWELI,SISHAURI SEREKALI IJIINGIZE KWENYE SUALA HILI KWANI MIRADI ILIYOPO INA RIGID AGREEMENT NA ISIPOMALIZWA AU ITAKAPOCHELEWESHWA ITALISABABISHIA TAIFA HASARA KUBWA KUPINDUKIA,SUALA LA KATIBA NI VYEMA LIKAANZA KUONGELEWA KWENYE AWAMU 7 #OVER.
 
Mkuu wangu monde arabe nashukuru sana Kwa kuleta andiko hili toka mkoloni katupa uhuru 1961 mbaka Leo tunatapa tapa tu hatuna mwelekeo Wala dira Kama taifa yaani tupo tupo tu hata hatujielewi yaani
Kiasi kwamba hata hao mabeberu wakitaka kuchukua Tena hii nchi hakuna atakaye weza kumzuia zaidi ya kelele za mbwa koko tu ambazo zitakua hazina msaada

Yaani hii nchi napata uchungu kuona inaendeshwa kienyeji ili mradi siku ziende tu inauma na hua naumia sana sana moyoni ila Sina namna

Wanasiasa uchwara ndio wanao tuongoza yaani hawana mwelekeo wote ni zero brain kama wananchi tulivyo
Tatizo ni
Elimu elimu elimu!

Noma Sana!
 
Although BAADHI ya selection za viongozi zinashangaza kweli hasa hawa wakuu wa wilaya unishangaza sana, (Zamani kiongozi alinolewa kwanza kwenye chuo cha uongozi) hakukuwa na pupa au uharaka but its OK!
 
Back
Top Bottom