Huu ni muda wa kuishi kama nyakati za Adam na Hawa

Huu ni muda wa kuishi kama nyakati za Adam na Hawa

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Unatafuta mrembo mzuri humu jf alafu mnatafuta pori huko msituni ambapo hakuna binadamu yeyote zaidi ya wanyama na ndege, mnaji-lock down wenyewe hata kwa mwaka mzima, huku mkila mizizi, matunda, majani na kufurahia uumbaji. Huko hakuna kuvaa mask, hakuna hofu ya maambukizi n.k Naona itakuwa vizuri zaidi....
 
Unatafuta mrembo mzuri humu jf alafu mnatafuta pori huko msituni ambapo hakuna binadamu yeyote zaidi ya wanyama na ndege, mnaji-lock down wenyewe hata kwa mwaka mzima, huku mkila mizizi, matunda, majani na kufurahia uumbaji. Huko hakuna kuvaa mask, hakuna hofu ya maambukizi n.k Naona itakuwa vizuri zaidi....

Wanawake walivyo natamaa anaweza akakusaliti huko huko porini na sokwe mtu


Sent using IPhone X
 
Katika hao wawili mmoja wenu anaweza akawa kwenye incubation period.
Na kwa kuwa mtakua pekee yenu porini hamna mtu atayekuwepo kuwahudumia kipindi mpo hoi.
Mnajitibu na mitishamba iliyoko huko porini
 
Mnajitibu na mitishamba iliyoko huko porini
Wachina na wamarekani wameshindwa ndo mtaweza ninyi?
Ila pia unajua lakini jamii ya corona ni ugonjwa uliyotokea kwa wanyama na hata mlipuko wake ulitokea kwenye soko kuu la wanyama huko wuhan???
Sasa nyinyi mnataka mkajifungie nao
 
Back
Top Bottom