Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
ha ha ha ha kwa nini mkuu?Daaaah nna imagine sijui utakuwa kwenye feelings gani saa hii mkuu....
au ni ugumu umezidi??
Kule hakuna virus mkuuPole mwaya
Mie ni Filbert Bayi niliechomoka Amana jana😂😂 tulia MkuuKule hakuna virus mkuu
ha ha ha ha unaogopa kufa huku ukijionaMie ni Filbert Bayi niliechomoka Amana jana😂😂 tulia Mkuu
Unatafuta mrembo mzuri humu jf alafu mnatafuta pori huko msituni ambapo hakuna binadamu yeyote zaidi ya wanyama na ndege, mnaji-lock down wenyewe hata kwa mwaka mzima, huku mkila mizizi, matunda, majani na kufurahia uumbaji. Huko hakuna kuvaa mask, hakuna hofu ya maambukizi n.k Naona itakuwa vizuri zaidi....
ha ha ha ha haWanawake walivyo natamaa anaweza akakusaliti huko huko porini na sokwe mtu
Sent using IPhone X
Inawezekana mkuu,kwa sababu ata hawa alimsaliti mwenzake kwa nyokaWanawake walivyo natamaa anaweza akakusaliti huko huko porini na sokwe mtu
Sent using IPhone X
Kwa nini mkuu,kule porini binadamu mtakuwa ni nyie wawili tuMnaweza mkawa wawili kwenye lockdown yenu na bado wote wawili mkafa kwa corona
Ya nini mkuu?Pole sana.
Katika hao wawili mmoja wenu anaweza akawa kwenye incubation period.Kwa nini mkuu,kule porini binadamu mtakuwa ni nyie wawili tu
Mnajitibu na mitishamba iliyoko huko poriniKatika hao wawili mmoja wenu anaweza akawa kwenye incubation period.
Na kwa kuwa mtakua pekee yenu porini hamna mtu atayekuwepo kuwahudumia kipindi mpo hoi.
Wachina na wamarekani wameshindwa ndo mtaweza ninyi?Mnajitibu na mitishamba iliyoko huko porini
Hawana shida tutapambana nao tuHalafu wanyama wa porini
Si bora upambane na virus kuliko nyokHawana shida tutapambana nao tu