Huu ni mwaka wangu wa mwisho kuajiriwa

[emoji419]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chonde chonde Usiache ajira kizembee hivo master

Kama unataka kufuga na kufanya kilimo , Tafuta wafanyakazi wakufanya hizo Kazi kwanza huku wewe ukiwa msimamizi mkuu au mkeo akawa msimamizi mkuu kwa hizo Kazi

Hayo mafanikio ya rafiki Yako yatumie Kama darasa kwanza na usikurupuke kisa eti umeona una m10 , Maisha yana hatua zake ndogondogo Sana na za Muhimu Sana zingine zinahitaji subira
 
Feedback tafadhali
 
Kampuni ninayofanyia kazi haijatuwekea mazingira mazuri ya kukopa mkuu,ila pamoja na hayo nimepata suluhisho ambalo ni kuwapeleka watoto shule za kawaida ili niweze kupata mtaji.
Ualimu ni KAMPUNI kumbe? Vipi umefikia wapi na harakati zako? Njoo Mwanza tufuge samaki kwa vizimba, kuna pesa ndefu imetolewa na wafadhili MABEBERU kupitia serikali ya CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…