Huu ni mwanzo mzuri kwa Simba SC

Huu ni mwanzo mzuri kwa Simba SC

Heart Wood.

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
982
Reaction score
1,179
WhatsApp Image 2024-07-23 at 06.48.09.jpeg


Ewe mpenzi wa soka la Tanzania, habari zikufikie popote ulipo kuwa kikosi cha Simba SC kimeanza vizuri katika maandalizi yake ya Msimu mpya huko nchini Misri. Hii ni baada ya kukichapa kikosi cha El Qanah siku ya jana baada ya kuibuka na ushindi mnono wa goli 3-0 (Tatu kwa mtungi).

Wale wote mnaobeza kuwa kikosi cha Simba kimepimana nguvu na timu ndogo ya daraja la 2 mnakumbushwa kuwa soka ni taaluma. Kwa ugeni ule wa wachezaji na kocha akiwa mgeni huku akikisuka upya kikosi hiki mlitegemea mechi ya kwanza aanze kucheza na Al Ahly?

Kwa maoni yangu naona Management ya Simba inafanya kazi professionally maana ni muhimu sana kuwajengea confidence wachezaji katika hatua hizi za awali, confidence yenyewe ndio hiyo ya kuanza taratibu kwa ushindi. Hivyo baada ya hapo tutegemee Simba kukichapa na Timu kubwa kubwa. Hebu mkae kwa kutulia.
 
Simba imecheza na team ya Madrasa huko Egypt.
Yanga tumecheza na Ausburg kutoka Bundasliga.

Hivi huko Egypt mbona Kuna team nyingi kwanini msijipime na Al Ahly, Pyramid, future, n.k ndo mkacheza na team ya chuo cha Madrasa
Kweli mbumbumbu ni mbumbumbu
 
Ningekuwa mwalimu wa shule ya msingi ningekupa VEMA.

Unadhani wanaobeza hawajui basi? Wao wenyewe wanachezaga sana na vitimu vya mchangani tena katikati ya ligi sembuse timu hii inayosukwa upya hatua kwa hatua.
 
Simba imecheza na team ya Madrasa huko Egypt.
Yanga tumecheza na Ausburg kutoka Bundasliga.

Hivi huko Egypt mbona Kuna team nyingi kwanini msijipime na Al Ahly, Pyramid, future, n.k ndo mkacheza na team ya chuo cha Madrasa
Kweli mbumbumbu ni mbumbumbu
Unajua lakini kuwa ligi yao bado haijaisha?
 
Simba imecheza na team ya Madrasa huko Egypt.
Yanga tumecheza na Ausburg kutoka Bundasliga.

Hivi huko Egypt mbona Kuna team nyingi kwanini msijipime na Al Ahly, Pyramid, future, n.k ndo mkacheza na team ya chuo cha Madrasa
Kweli mbumbumbu ni mbumbumbu
Duh!
 
Simba imecheza na team ya Madrasa huko Egypt.
Yanga tumecheza na Ausburg kutoka Bundasliga.

Hivi huko Egypt mbona Kuna team nyingi kwanini msijipime na Al Ahly, Pyramid, future, n.k ndo mkacheza na team ya chuo cha Madrasa
Kweli mbumbumbu ni mbumbumbu
We fala hiyo timu ni ya daraja la kwanza egypt ni sawa na timu ya ligi kuu bongo
 
View attachment 3049632

Ewe mpenzi wa soka la Tanzania, habari zikufikie popote ulipo kuwa kikosi cha Simba SC kimeanza vizuri katika maandalizi yake ya Msimu mpya huko nchini Misri. Hii ni baada ya kukichapa kikosi cha El Qanah siku ya jana baada ya kuibuka na ushindi mnono wa goli 3-0 (Tatu kwa mtungi).

Wale wote mnaobeza kuwa kikosi cha Simba kimepimana nguvu na timu ndogo ya daraja la 2 mnakumbushwa kuwa soka ni taaluma. Kwa ugeni ule wa wachezaji na kocha akiwa mgeni huku akikisuka upya kikosi hiki mlitegemea mechi ya kwanza aanze kucheza na Al Ahly?

Kwa maoni yangu naona Management ya Simba inafanya kazi professionally maana ni muhimu sana kuwajengea confidence wachezaji katika hatua hizi za awali, confidence yenyewe ndio hiyo ya kuanza taratibu kwa ushindi. Hivyo baada ya hapo tutegemee Simba kukichapa na Timu kubwa kubwa. Hebu mkae kwa kutulia.
Asante kwa taarifa
 
Ningekuwa mwalimu wa shule ya msingi ningekupa VEMA.

Unadhani wanaobeza hawajui basi? Wao wenyewe wanachezaga sana na vitimu vya mchangani tena katikati ya ligi sembuse timu hii inayosukwa upya hatua kwa hatua.
Kusuka upya kwenyewe kumezidi banaa..!! ndo mkacheze na timu ya ligi dara la pili kweli..!!! Siyo kipimo kizuri hicho cha pre-season..!!
 
Back
Top Bottom